Posts

ONA MATUKIO ZAIDI 200 YA KILICHOJILI KATIKA FAINALI ZA EBSS 2013 ... ILIKUWA NI BALAA

Image
    Mshindi wa EBBS 2013 Emmanuel Msuya.                 Mwanamuziki Snura Mushi akiwajibika jukwaani kwa kucheza wimbo wake wa 'Nimevurugwa'.… Mwanamuziki Snura Mushi akiwajibika jukwaani kwa kucheza wimbo wake wa 'Nimevurugwa'. Mwanamuziki Walter Chilambo ambaye ndiye mshindi wa shindano la EBSS 2012 akitumbuiza stejini

MTU MMOJA AKUTWA NA BUNDUKI PAMOJA NA RISASI 13 JIJINI ARUSHA

Image
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Liberatus Sabas akiwaonyesha waandishi wa habari (Hawapo pichani) bunduki aina ya shortgun iliyokutwa nyumbani kwa mtu anayejulikana kwa jina na Jumanne Abdallah Maarufu kwa jina la Babu G (25) Unga Ltd jijini hapa ambaye anatuhumiwa kuhusika katika matukio mbalimbali ya ujambazi hapa nchini. (Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha) Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Liberatus Sabas akionyesha risasi zilizokutwa nyumbani kwa mtuhumiwa wa ujambazi Jumanne Abdallah maarufu kwa jina la Babu G maeneo ya Unga Ltd jijini hapa. (Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha) Na Rashid Nchimbiwa Jeshi la PolisiArusha Mtu mmoja anayetuhumiwa kwa ujambazi ajulikanaye kwa jina la Jumanne Abdallah Maarufu kwa jina la Babu G (25) Mkazi wa Unga Limited jijini hapa amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa na bunduki aina ya short gun pamoja n

Hivi ndivyo Emmanuel Msuya alivyozoa Milioni 50 za Ebss ... Mpango mzima upo hapa kuanzia Red Carpet mpaka kukabidhiwa zawadi

Image
Kinyanganyiro cha kumtafuta Super Star wa Bongo kupitia Epiq Bongo Star Search 2013 kimekamilika alfajiri hii kwenye ukumbi wa Escape 1. Mashindano haya ambayo kidogo yalichelewa kuanza yalipambwa na wasanii mbalimbali wakiwemo Barnaba,Makomando,Young Killer,water chilambo,Shaa,Kimbunga na Snura. Katika mashindano haya ambayo yalikua na jumla ya washiriki watano  ambao ni Amina Chibaba,Elizabeth Mwakijambile,Emmanuel Msuya,Maina Thadei na Melisa John,ambao walipita kwa round tatu kisha majaji kuwapunguza watatu na kisha kubakia Emanuel Msuya na Elizabeth Mwakijambile katika Round ya 4 na ya mwisho. Katika round ya mwisho,Emmanuel Msuya ameibuka kidedea na kuwa Mshindi wa Epiq Bongo Star Search 2013,akiwa ni mshiriki anaetokea Jijini Mwanza na kumpokea taji water chilambo ambae alikua mshindi wa mwaka jana. Zawadi kwa mshindi wa mwaka huu ni Milion hamsini[50]ambayo kakabidhiwa jukwaani. Hiki ndicho kinachoendelea kwa sasa,upande wa redcarpet

PENNY ASUMBULIWA NA GONJWA LA AJABU, APUNGUA GHAFLA

Image
MTANGAZAJI wa Runinga ya DTV, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameamua kujikondesha mwili ambapo amefanikiwa kupoteze uzito usiopungua kilo  18 mwilini. Akizungumza na Weekly Star Exclusive, Penny alifunguka kuwa, kutokana na kuona mwili wake unavimbiana, aliamua kufanya mazoezi maalum ya kupunguza mwili sambamba na kufanya ‘dayati’ ambayo imembadilisha muonekano wake (tazama picha ndogo). “Nimeamua tu kuubadilisha muonekano wangu wa unene kwani nilikuwa ninazidi kuwa bonge, kweli nimefanikiwa maana hata uzito nimepungua kwa sasa. “Kabla sijaanza kufanya mazoezi nilikuwa na kilo 85 lakini sasa nimepungua hadi kufikia kilo 67, ni mafanikio makubwa ambayo nimeyapata katika zoezi langu la kupunguza uzito,” alisema Penny ambaye ni ‘ubavu’ wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Kuhusu msosi, kwa sasa Penny asubuhi anakula ‘ma-apple’ mawili au kipande cha papai, mchana anakunywa juisi na usiku anamalizia na saladi ya samaki au kuku, analala.

SUPER STAR SINGER TID ATUPWA RUMANDE TENA. KISA HIKI HAPA .... !!

Image
Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Khaleed Mohamed 'TID' yupo mahabusu katika Kituo cha Polisi Oysterbay tangu jana usiku baada ya kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi msichana anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake,  Mariam Nnauye.  Huyu Ndio Mariam Nnauye. Taarifa zinasema kuwa ugomvi ulianza maisha club jana usiku baada ya TID kumkuta Mpenzi wake akiongea na mwanaume mwingine bila ruhusa ya Top In Dar na ndio Top akamvuta mpenzi wake na kumpiga makofi.Bila kijali mapenzi yao binti huyo alikwenda moja kwa moja kituo cha polici Osterbay na kutoa taarifa ya kupigwa naTid. Tid ametoka mida ya saa tano asubuhi kwa Dhamana na ataripoti tena polici jumatatu.   Source: Sam Misago

MWANAMUZIKI TABU LEY AFARIKI DUNIA

Image
l Mwanamuziki mkongwe wa Congo, Pascal Tabu Ley Rochereau amefariki dunia leo asubuhi baada ya kulazwa katika hospitali ya nchini Ubelgiji. Kwa mujibu wa mwanae Charles Tabu, aliyeongea na Radio Okapi, Tabu Ley amefariki kwa kiharusi na Kisukari. Naye Nyboma Mwandido, mwanamuziki mwenzie aishiye jijini Paris, Ufaransa amethibitisha kifo cha msanii huyo kilichotokea leo Jumamosi saa 2 asubuhi Brussels. Tabu Ley alikuwa mgonjwa mahututi kwenye hospitali hiyo kutokana na kusumbuliwa na kiharusi alichokipata mwaka 2008. Kiharusi (stroke) kilimfanya awe kwenye kiti cha walemavu tangu muda huo. Pamoja na muziki, Tabu Ley aliwahi kuteuliwa kuwa waziri na Rais Laurent Kabila mwaka 1997 na baadaye kuwa mbunge. Awali, msanii huyo wa Rhumba aliyekataa kuwa mshairi wa Rais Mobutu Sese Seko alilazimika kuikimbia nchi hiyo. Miaka ya mwishoni alikuwa akiishi Paris, Ufaransa akipata matibabu kabla ya hivi karibuni kupelekwa Ubelgiji kupata matibabu maalum. Katika

FAT JOE ATOKA JELA

Image
Rapper Joseph Cartagena aka Fat Joe ametoka jela jana (November 28) alipokuwa akitumikia kifungo cha miezi minne kutokana na kosa la kukwepa kulipa kodi. Joe (42) jana alipost video instagram akimsurprise binti yake baada ya kurejea nyumbani. Rapper huyo aliyeanza kutumikia kifungo hicho (August 26) ametolewa jela mapema zaidi baada ya kukaa ndani kwa miezi mitatu tu. Fat Joe alikuwa akituhumiwa kwa kukwepa kulipa madeni ya kodi yanayofikia $ 1 million yakiwa ni malimbikizo ya miaka miwili. Kifungo hicho cha miezi minne kiliambatana na faini ya $15,000 pamoja na usimamizi maalum wa mwaka mmoja baada ya kutoka jela.

MWANACHUO WA MWAKA WA KWANZA CHUO KIKUU USHIRIKA AFIRIKI DUNIA GHAFLA

Image
 Marehemu Happy Elias Kisamo   Happy E.Kisamo alikuwa mwanachuo wa mwaka wa kwanza katika chuo kikuu kishiriki ushirika(MUCCoB's) akiwa anachukua stashahda ya masoko na fedha , Marehemu alifariki usiku wa kuamkia jana kutokana na maradhi ya tumbo yaliyokuwa yanamsumbua, Mwili wa marehemu unategemewamehagwa siku ya jumatatu na uongozi mzima pamoja na Wanachuo Wenzake na kisha kusafirishwa kuelekea kwao uko Arusha tayari kwa ajili ya mazishi. Uongozi wa Chuo Kikuu kishiriki Ushirika(MUCCoB's).unapenda kutoa pole kwa familia na Wanachuo wote kwa kufiwa na mwanachuo mwenzao, BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE

RAIS KIKWETE APOKEA KOMBE LA DUNIA

Image
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akilifunua na kulinyanyua Kombe la Dunia katika uwanja wa michezo Kirumba mjini Mwanza leo jioni. Kombe hilo limerejea jijini Dar es Salaam na kesho wananchi watapata fursa ya kupiganalo picha. NDUGU MDAU TUJITOKEZE TRH 30 PALE UWANJA WA TAIFA ILI TUPATE PICHA YA UKUMBUSHO

RAIS DKT. JAKAYA KIKWETE APEWA UCHIFU WA BARIADI

Image
Mmoja wa machifu wa Kisukuma eneo la Bariadi ambaye pia ni Mbunge wa Bariadi Mashariki Andrew Chenge akimvika vazi la kijadi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa hafla ya kumpa uchifu Rais Kikwete iliyofanyika mjini Bariadi,Mkoa mpya wa Simiyu leo.Rais Kikwete alipewa jina la kisukuma la Chifu Ng’humbu Banhu lenye maana ya Anayekumbuka na kuthamini Watu. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amekalia kigoda cha Uchifu wa Bariadi baada ya kuwa Chifu Ng’humbu Banhu mjini Bariadi Mkoa mpya wa Simiyu leo.Rais Kikwete yupo katika Ziara ya Kikazi Mkoa mpya wa Simiyu(picha na Freddy Maro)

MPENZI WAKO YUPO MBALI NA UMEM-MISS?!JE, WAJUA MTARIDHISHANA VIPI KIDIGITALI....! (18+)SOMA HII

Image
Mapenzi ni k2 cha ajabu sana katika hii dunia maana kuna njia nyng sana za kufanya mapenz na bila kuingiza uume wala mwanamke kuingiziwa uume katika nyeti zake na akaridhika kabisa,kwa mfano kuchezeana sehemu za siri mpaka wote mkakojoa kama vile kunyonyana,au mwanamke kuyabana maziwa yake na mwanaume kuingiza uume wake na kuanza kusugua mpaka akojoe,lkn hayo yote kwa leo hayatuhusu bali nataka tuangalie jinsi ya kufanya mapenzi kwa kutumia simu mpaka mkapizi wote. Ni rahisi sana kwa yule ambaye yuko serious na amedhamiria kufanya hii,unapotaka kufanya mapenzi kwa njia ya simu kwanza inatakiwa akili yako yako yote idhamirie kufanya hivyo na uwe unafuata masharti unayoambiwa na mpenz wako au m2 unayefanya naye mapenzi ya simu... Ili m2 ukojoe lazima kuwepo na kitu kinachokufanya ukojoe kwa mfano kwa wanaume lazima asuguliwe mb** na kitu laini na mwanamke hivyo hivyo lazima achezewe au aingiliwe na uume ndo akojoe,so fikra zako unatakiwa uzilete huku kwenye pen

Huyu ndio mrembo wa Kitanzania alietangazwa mshindi wa taji la “Miss Commonwealth Africa” huko London Uingereza.

Image
Mtanzania, Malkia Kassu ( wa tatu toka kushoto) akiwa na washindi wenzake – wote wamevalia taji na kubeba vikombe vya ushindi. Mashindano ya 2013 yalifanyika London Jumamosi Novemba 26 na kwa mara ya kwanza yalikuwa na mshiriki toka Tanzania. Malkia Kassu ( jina la kuzaliwa Mulki Kassu Miraj) alichaguliwa malkia wa Tanzania na bara zima la Afrika. Wateuzi wa ushindi huo hawakuangalia tu sura, bali tabia, fikra, hamasa na msimamo wa kimaendeleo wa mhusika ambapo washindani walitoka mataifa mbalimbali duniani. “Ninataka kuiwakilisha nchi yangu na kuwasaidia wenye maisha magumu, niifanye dunia iwe mahali pazuri zaidi. Nafahamu si kazi rahisi ila nina hakika kila mmoja wetu akijumuika na mwenzake mabadiliko mema zaidi yatafanyika. Tanzania ni nchi ya amani na ninaamini amani na mapenzi vyaweza kuongezeka katika jumuiya zetu.” – Kassu Kutoka kushoto ni mdhamini, Ali Sungura, Balozi wa Tanzania Uingereza , mheshimiwa Peter Kallaghe, Aisha Mohammed na Af

NDUGU WASOMAJI WANGU TUMASAIDIE HUYU DADA USHAURI, KANUNULIWA GARI, KASOMESHWA LAKINI HAMPENDI MWANAUME HUYO ALIYEMFANYIA YOTE HAYO..!

Image
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 Naishi Tabata jijini Dar Es Salaam nimejitokeza kwenu kuomba ushauri, Mimi na mpenzi wangu ambae amenisomesha toka form one hadi sasa nipo chuo kwani wazazi wangu walifariki wakati mimi nikiwa mtoto mdogo sana. Sasa huyu mpenzi wangu amenigharamia sana yani kuanzia nguo zote hadi chakula nacho kula vyote ni msaada wake yeye na amejitolea kuninunulia gari la kutembelea na kanambia nitafute kiwanja ili tujenge nyumba ya kupangisha. Ila mimi kwa sasa naona kama huyu mwanaume hatuendani kwani yeye hana elimu ila anafanya kazi kutumia akili ya kuzaliwa, Jamani mimi nataka kuishi na msomi mwenzangu ila huyu kaka mimi naona kama freemasson kwani kanisaidia sana asije akanitoa kafala, Mimi kwa sasa nimepata mpenzi mpya ambae anaelimu ya chuo pia ni sharo sio mshamba kama huyu wa zamani. Sasa please naombeni ushauri wenu jamani nimwambiaje kama sipo tayari kuishi na yeye huyu mpenzi wa zamani bila kuumiza moyo wake...?

Tanzania kunufaika na mradi wa Mbogamboga mashuleni

Image
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof. Sifuni Mchome akizungumza na wafanyakazi wa Wizara hiyo wakati wa hafla ya utambulisho wa Mradi wa Kupeleka Bustani za Mbogamboga na Matunda Shuleni leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Meneja Mradi wa Kupeleka Bustani za Mbogamboga na Matunda Shuleni Dkt. Usha R. Palaniswamy. Meneja Mradi wa Kupeleka Bustani za Mbogamboga na Matunda Shuleni Dkt. Usha R. Palaniswamy akifafanua jambo wakati wa utambulisho wa Mradi huo, hafla iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Katikati ni Mkurugenzi wa Elimu ya Sekondari wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Bi. Paulina Mkonongo na Mratibu wa Mradi Tanzania Bi. Joyce Sekimanga. Mkurugenzi wa Elimu ya Sekondari wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Bi. Paulina Mkonongo akisisitiza jambo kwa watumishi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi(hawapo pichani) wakati wa hafla ya utambulisho wa Mradi wa kupeleka Bustani ya Mbogamboga na Matunda shuleni leo jijini Dar es Salaam.Kus

IFAHAMU VYEMA BAJAJI INAYOZUNGUKA DUNIA NZIMA

Image
Watanzania wengi tunafahamu Bajaji ni usafiri wa hapa na pale tu, yani sio usafiri wa kubeba abiria kwenye masafa marefu lakini Walimu wawili raia wa Uingereza wamekipiga kibajaji gia na kupita nacho nchi mbalimbali duniani zinazofikia 37. Ni safari ambayo wameianza August 13 mwaka jana (2012) lakini haijafikia hapa bila matatizo, wanakwambia Bajaji imezingua sana kwenye baadhi ya nchi na kuna wakati injini ilisumbua wakajua ndio mwisho wa safari mpaka wakati mwingine wanalazimika kushuka na kuanza kuivuta wao wenyewe. Unaambiwa hii rekodi itaingia kwenye kitabu cha Guiness kama watamaliza safari yao ambayo wamepanga kuimalizia Brazil kabla ya December 23 2013 kisha kurudi zao nyumbani Uingereza. Wanasema wengine wameshindwa kuamini kama wanaizunguka dunia kwa ‘tuktuk’ a.k.a Bajaji ambapo kwenye mpaka wa Kenya na Uganda walisimamishwa na Polisi ambae aliwaambia haamini kuhusu urefu wa safari yao ila kama ni kweli, itakua ngumu wao kupata watoto wa kiume.. lab