Hivi ndivyo Emmanuel Msuya alivyozoa Milioni 50 za Ebss ... Mpango mzima upo hapa kuanzia Red Carpet mpaka kukabidhiwa zawadi

DSC_0110Kinyanganyiro cha kumtafuta Super Star wa Bongo kupitia Epiq Bongo Star Search 2013 kimekamilika alfajiri hii kwenye ukumbi wa Escape 1.
DSC_0068Mashindano haya ambayo kidogo yalichelewa kuanza yalipambwa na wasanii mbalimbali wakiwemo Barnaba,Makomando,Young Killer,water chilambo,Shaa,Kimbunga na Snura.
Katika mashindano haya ambayo yalikua na jumla ya washiriki watano  ambao ni Amina Chibaba,Elizabeth Mwakijambile,Emmanuel Msuya,Maina Thadei na Melisa John,ambao walipita kwa round tatu kisha majaji kuwapunguza watatu na kisha kubakia Emanuel Msuya na Elizabeth Mwakijambile katika Round ya 4 na ya mwisho.
DSC_0098
Katika round ya mwisho,Emmanuel Msuya ameibuka kidedea na kuwa Mshindi wa Epiq Bongo Star Search 2013,akiwa ni mshiriki anaetokea Jijini Mwanza na kumpokea taji water chilambo ambae alikua mshindi wa mwaka jana.
DSC_0141Zawadi kwa mshindi wa mwaka huu ni Milion hamsini[50]ambayo kakabidhiwa jukwaani.
DSC_0003
Hiki ndicho kinachoendelea kwa sasa,upande wa redcarpet hapa Escape 1 Mahali ambako anazaliwa super star wa mwaka 2013 kupitia Epiq Bongo Star Search.
DSC_0002
DSC_0006
DSC_0004
DSC_0006
DSC_0015
DSC_0018

Comments

Popular posts from this blog