Posts

WANANCHI KATA YA NZIHI JIMBO LA KALENGA WAMPONGEZA MBUNGE MGIMWA , MWENYEWE AWATAKA KUMPA USHIRIKIANO ZAIDI

Image
Wazee kijiji cha Nyamihuu wakimpa baraka na kumpongeza mbunge  Mgimwa  kwa uchapa kazi wake  MBUNGE  wa jimbo la Kalenga Bw Godfrey Mgimwa amesema atahakikisha anafanya kazi na  vyama  vyote vya  siasa na  kuwa kuwataka  wananchi wa  jimbo la Kalenga kuachana na makundi  ya vyama vya siasa na kuunagana  pamoja  ili  kufanikisha  jimbo hilo kupiga hatua kubwa ya kimaendeleo. Mbali ya  kuwataka kuachana na makundi  ya kisiasa  pia amewataka  waliokuwa  wagombea  wa nafasi za ubunge katika uchaguzi mdogo  kupitia  CCM kuacha  kujipitisha  kwa  sasa kwa  wananchi na badala yake kusubiri uchaguzi mkuu mwaka 2015. Akizungumza kwa nyakati  tofauti katika  mikutano yake ya hadhara  kwa lengo la kuwashukuru wananchi kwa  kumchagua na leo katika kata ya Nzihi ,mbunge huyo  alisema kuwa amelazimika  kuomba ruhusa bungeni kwa  spika  ili kurudi  kuwashukuru  wananchi hao hasa  kutokana na upendo mkubwa ambao  wananchi wa jimbo hilo  walionyesha kwake. “Ndugu

HATIMAYE VICKY KAMATA AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE ILIYOSHINDIKA

Image
Mwanamuziki wa zamani na mbunge Vicky Kamata baada ya ndoa yake kudaiwa kuzuiliwa kufungwa kutokana na kudaiwa mwanaume aliyetaka kufunga naye ndoa ana ndoa nyingine, amefunguka kwa kudai kuwa hizo zilikuwa ni habari za kutungwa na hazikuwa na ukweli wowote. Vicky ameiambia amplifaya ya Clouds fm jana kuwa maneno mengi ambayo yalikuwa yanazungumzwa kuhusu ndoa yake kutofungwa yalikuwa yametengenezwa na watu. “ Kweli ni maradhi kama ambavyo ilitangazwa wakati huo, lakini pamoja na hayo mimi bado nasema mungu alikuwa hajapanga ,alikuwa hajaruhusu kuwa tarehe 24 mwezi wa tano iwe siku wa kufunga ndoa. “Mimi kama binadamu na mwenzangu tulipanga lakini mungu alipanga vinginevyo , kwaiyo siku zote mapenzi ya mungu huwaga yanatimia siyo mapenzi ya binadamu. “Ni kweli alishawai kufunga ndoa lakini ninachofahamu mimi ni kwamba waliachana kihalali kabisa kwa divorce ya mahakama ya Kinondoni mwaka 2012 na mimi siyo mtoto mdogo kwamba ninaweza mpaka nikafikia

MSANII MWINGINE ALAZWA, NI SIKU CHACHE BAADA YA KUTOA WOSIA WA KIFO

Image
Siku chache baada ya kutoa wosia kuwa akifa asizikwe kwa mbwembwe, mwigizaji Devotha Mbaga amezimia ghafla wakati wa kuaga mwili wa mwongozaji wa filamu na vipindi mbalimbali Bongo, marehemu George Otieno ‘Tyson’. Kwa mujibu wa chanzo kilichoomba kusitiriwa jina (msanii), baada ya mwili wa Tyson kuagwa katika Viwanja vya Leaders Club, Juni 5, mwaka huu, ghafla Devotha alikutwa amezimia kwenye gari lake.   Hatukujua sababu lakini kiukweli hali yake ilikuwa mbaya sana, tulimchukua na kumkimbiza Hospitali ya Mico, Kinondoni ambapo alilazwa na madaktari waligundua kwamba alikuwa na tatizo la presha alisema msanii huyo. Baada ya kuzinyaka habari hizo, mapaparazi wetu walifika katika Zahanati ya Mico alipokuwa amelazwa na kumkuta msanii huyo akiwa amewekewa dripu huku akizungumza kwa shida akidai hakujua kilichoendelea mpaka aliposhtuka akiwa kitandani hospitalini hapo. Nilikuwa nimejiandaa kuusindikiza mwili wa Tyson mpaka airpot, nilikuwa ndani ya gari l

Putin akutana na rais wa Ukraine

Image
Putin akutana na rais wa Ukraine Petro Poroshenko Marais wa Urusi na Ukraine wameongea kwa mara ya kwanza. Vladmir Putin na Rais aliyechaguliwa nchini Ukraine, Petro Poroshenko, walikutana kwa muda mfupi kabla ya chakula cha mchana katika maadhimisho ya miaka 70 tangu mataifa ya Ulaya kukombolewa kutoka kwa Wanazzi. Maafisa wa Serikali wa Ufaransa walisema kuwa katika mashauriano ya viongozi hao wawili ambayo hayakuwa rasmi yaliyoandaliwa na Rais Fransois Hallande, Bwana Putin na Bwana Poroshenko walikuwa wamekubali kuwa mashauriano juu ya kusitisha mapigano katika Ukraine Mashariki yatafanywa hivi karibuni.Maadhimisho hayo yanaendelea nchini Ufaransa. Maafisa hao walieleza kuwa viongozi hao wawili walizungumza juu ya kuzorota kwa uchumi kunakotokana na ghasia za kisiasa nchini Ukraine. Baadaye Kiongozi wa Ujerumani, Angela Merkel, amehimiza Urusi kutekeleza wajibu wake kupunguza uhasama unaoendelea kupanda nchini Ukraine .

Baada ya kusambaa Picha za aibu za John Komba ,Sasa picha za aibu za Mbunge Wa Ukerewe Zavuja

Image
Mbunge Akiwa Kazini Baada ya picha za Mheshimwa Komba Kuvuja siku ya jana, Leo Hii picha za utupu kama a za mbunge wa ukerewe Mheshimiwa Salvatory Machemli Zimevuja Mtandaoni J amani hivi ninani anafanya kazi ya kutega camera na kudhalilisha viongozi wetu mahotelini kweli insikitisha

BREAKING NEWS: WANAFUNZI WA CHUO CHA USAFIRISHAJI CHA NIT WAFANYA VURUGU MUDA HUU KUSHINIKIZA KUPEWA PESA ZAO ZA MKOPO

Image
 Wanafunzi wakiwa wanapiga Makelele kushinikiza Kulipwa pesa zao  Polisi wakiwa wakiwa wanaimarisha ulinzi   Mmoja wa Mawaziri wa Serikali ya Wanafunzi akizungumza jambo  Gari la Polisi likiwa limefika eneo la Tukio kwa ajili ya usalama chuoni hapo  Usalama umeimarishwa.. Endelea  kufuatilia tukio zima hapa hapa.....

PICHA: BI HARUSI AAMUA KUMBURUZA SAKAFUNI MWANAYE WA MWEZI 1 JUU YA SHELA WAKATI WA KUINGIA KANISANI

Image
 Mwanamke mmoja wa Tennessee, Marekani hivi karibuni aliamua kufanya kitendo ambacho huenda kwake aliamini kuwa ni ubunifu utakao wa ‘wow’ wageni waliohudhuria kanisani kushuhudia ndoa yake na mume wake ikifungwa. Mwanamke huyo aitwaye Shona Carter-Brooks aliingia kanisani na mwanaye mwenye umri wa mwezi mmoja, lakini sio kwa kumpakata mikononi kama ilivyotarajiwa na wengi, bali alimuweka kwenye mkia wa shela yake na kumburuta katika sakafu ya kanisa wakati yeye na mume wake walipokuwa wakiingia kanisani kuelekea kwenye ‘altar’.

MSIBA MWINGINE WA STAA WATOKEA USIKU WA KUAMKIA LEO

Image
Marehemu Gebo Peter enzi za uhai wake. Mshambuliaji wa zamani wa Sigara na Simba, Gebo Peter amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Beki wa zamani wa Yanga, Bakari Malima ‘Jembe Ulaya' amethibitisha taarifa za kifo hicho.

WARIOBA AZISHUKIA UKAWA, CCM

Image
Katika Bunge hilo, wajumbe wengi wa CCM walimshambulia Warioba na tume yake wakidai kuwa Rasimu ya Pili ya Katiba haikuzingatia maoni ya wananchi na Mabaraza ya Katiba.PICHA|MAKTABA Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewashauri wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na CCM kuacha kuzunguka mikoani kufanya mikutano inayoeleza misimamo yao kuhusu mchakato wa Katiba Mpya kwa kuwa haina tija kwa taifa. Ameonya kuwa mikutano hiyo inajenga mwelekeo mbaya kwa taifa na kuhatarisha mchakato wa Katiba na kuzitaka pande hizo kumaliza tofauti zao. Akizungumza katika mahojiano maalumu yaliyofanyika Dar es Salaam jana, Warioba alisema: “Kwa mustakabali mwema wa taifa, ni muhimu makundi haya ‘ya-resolve’ (yamalize), matatizo yaliyopo kabla ya Agosti, ili Bunge Maalumu la Katiba likirejea, wote washiriki na kukamilisha mchakato wa kupata Katiba Mpya. Hili ni kwa masilahi ya taifa.” Kauli ya Waziri Mkuu huyo mstaafu ambaye

UNAMKUMBUKA YULE TRAFIC WA KENYA ALIEVAA SKETI FUPI?KAJA NA HII TENA.

Image
Yule trafiki wakike wa Kenya ambae kwa sasa Wakenya wengi wanamuita Koplo Linda Okelo ameingia tena kwenye headlines huko huko Kenya na kwa sasa ameamua kwenda mahakamani kupinga hatua ya kamati ya kinidhamu iliyowekwa.  Hatua hiyo ni ya kuchunguza madai ya kuvaa sketi fupi ambayo imesemwa kuwa ilikua nje ya maadili ya kazi na sheria za Jeshi hilo la Polisi la nchini Kenya. Kupitia kwa wakili wake Tom ojienda Koplo Lindah amesema kwamba hakufanya kosa lolote kuvaa sketi hiyo hadi kulazimika kuundwa kamati ya kumchunguza na kutoa maelekezo ya adhabu anayostahili. Lindah amesema kwamba asubuhi ya April  26 alifanya mkutana na OCPD wa kituo cha kiambu ili kuelekezwa,ingawa mkuu huyo wa polisi hakusema lolote kuhusiana na mavazi aliyovaa. Ingawa May 2 Lindah alichukuliwa hatua za kinidhamukwa kosa la kuvaa mavazi yaliyombana kulingana na sheria za huduma za polisi-alivyo kuwa amevalia sketi fupi iliyombana saa saba mchana nje ya tawi la benki ya KCB lililopo kiamb

UNAAMBIWA WEMA SEPETU HATA AFANYE NINI HAWEZI KUMFIKIA HUYU DADA KWA UZURI NA PESA!

Image
WEMA SEPETU Mda kidogo umepita Tangia Wema Sepetu kuchukua Tuzo kama Mlimbwende mwenye Mvuto zaidi hapa Bongo, na Lingine tofauti sana na ilo wema amekuwa akizungumziwa sana mwaka huu katika vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii,.Hivyo kuzidi kumzolea Umaarufu kila kukicha. Pia katika chunguzi zilizofanywa wema sepetu anasadikika kuwa mwenye utajiri wa kumtosha kwa kumiliki Jumba lenye dhamani zaidi ya Milioni 400, Kampuni ya Endelss film, magari nk. ZARI THE BOSS LADY. Unaweza kujiuliza maswali mwengi sana kuhusu jina hili, kwa nini  "THE BOSS LADY"?? Zari ni Mlibwende anayezungumziwa sana katika mitandao mbalimbali ndani na Nje ya UGANDA, kwa Utajiri wake wa ajabu. huku akiwaacha vigogo wengi kwenye mataa kwa Uzuri na Umbo lake la kuvuztia. Pia skendo za hapa na Pale hazimwishi, hii upelekea kuzidi kumpa umarufu zaidi na zaidi. Zari anamiliki magari ya kifahari, makampuni na Asasi binafsi ili kuendesha maisha yake ya kawaida.

JOSHUA NASSARI (MB) KUFANYA HARUSI YA ALAIKI KESHO JIMBONI KWAKE

Image
Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Meru Dr Paul Akyoo akifanya maombi kwa Bw Joshua Nassari ,Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki na Bi Anande Nnko wanaotarajia kufunga ndoa Jumamosi hii. Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari akimwimbia mchumba wake Bi Anande Nnko wakati wa sherehe ya Send off iliyofanyika nyumbani kwao na Bi Harusi Mtarajiwa ,Meru. Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari akiwa amekumbatiana na Mchumba wake Bi Anande Nnko muda mfupi baada ya kumtafuta kwa muda katika sherehe ya Send Off iliyofanyika nyumbani kwa Bi Harusi Mtarajiwa ,Meru. Bi ,Harusi Mtarajiwa Anande Nnko akimpatia zawadi ya T-Shirt Mumewe Mtarajiwa Bw Joshua Nassari wakati wa sherehe ya Send Off iliyofanyika nyumbani kwao Meru. Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini. MBUNGE wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Mh Joshua Nassari kesho anatarajia kufunga ndoa na Bi Anande Nko katika kanisa la Pentekoste, Kilinga lililoko wilaya ya Meru

DUNIA INAVIJAMBO ETI CNN, BBC NA AL JAZEERA WANAJUA KUWA RAILA ODINGA NDIO RAISI WA KENYA

Image
  Former Prime Minister Raila Odinga told a mammoth crowd of his supporters in Eastleigh that many foreign media houses view him as the legitimate President of Kenya. Speaking after visiting Eastleigh Estate on Thursday, Raila said many media stations around the world usually call him when there is a problem facing Kenyans. He cited the recent concentration of Somalis and Muslims at Kasarani, saying BBC, Aljazeera and CNN called him asking him what is happening in Kenya. Raila also said during the Westgate Shopping Mall terror attack last year, over 50 foreign media stations called him asking him the details of the attackers. He said it is only a group of few Kenyans who don’t know that he is the “legitimate President of Kenya” because he has won two consecutive  elections only to be rigged out by Kibaki’s and Jubilee’s administration consecutively.

Mapenzi hayaangalii umri: Toy boy miaka 31 na Girlfriend wake wa miaka 91

Image
He is presently dating both women and they are aware. While some men prefer young girls with flawless figures, Kyle, from Augusta, Georgia, dates numerous pensioners at the same time and even takes them home to meet his 50-year-old mother. For the last five years he has been in a 'casual' relationship with 91-year-old Marjorie McCool. And despite the 60-year age gap, the pair has an active sex life and can't keep their hands off each other.  Kyle said: 'Everyone's brain is wired differently, some guys prefer blondes, some brunettes, some like other guys - I like old ladies. Most of the time, the average age I go for is between 60 and 80.Whenever I'm trying to speak to an older woman, the first reaction I get is 'you're way too young'. I find persistence is good so I tell them it'll be fun. Often, the things women are so self-conscious about are what I'm into. I like the neck lines and wrinkles. Women worry about their boob