Skip to main content

Mzee Dude wa FUTUHI afariki dunia



Msanii wa kundi la Futuhi Mzee Dude amefariki dunia Leo mida ya saa kumi na moja jion.


Habari zinasema kuwa alizidiwa jana Jumapili na kukimbizwa katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza.
phars blog tunapenda kutoa pole kwa familia ya mzee Dude,
 MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI

Comments

Popular posts from this blog