BINTI KATIKA WAKATI MGUMU BAADA YA BOSS WAKE KUTAKA KUULAMBA "MZIGO" KWA TSH. MILIONI 5 KWA SIKU MOJA NTU ...

Mimi nina rafiki yangu ambaye tumekuwa marafiki baada ya kuajiriwa siku moja hapa jijini!
Kwa kweli, bila hata kumaliza mwenzi mmoja the big boss akaanza kutupa mawe kwa rafiki yangu huyu ila hakuniambia kama boss anataka kungonoka! Ila binti akamtolea nje!!

Alipo ona yamashindikana kule si ndoo akaamua ahamie kwangu kujaribu bahati yake, mimi nisivyo na siri nikaona nimshirikishe huyu rafiki yangu si ndo akafunguka nami nikajua kuwa boss ana mchezo mchafu!!
Nikamwambia hakuna dinner atakayo nialika nikaenda ila mwenzangu vi dinner alikuwa havikosi!
Ila anavyo sema rafiki yangu hajawahi ku do naye!!!!!
Sasa wiki hii, boss kanivulia uvivu macho kodo kwangu kila wakati, mara ohooo leo umependeza sana ohoo you luk scorching gorgeous hajui mwenzie najua kuwa tabia yake ni hafu!
Sasa si akanipigia simu after work twende kwa coffe enening coloessum, kwa kuwa ilikuwa mapema nikasema kwa nini niwahi home hivi!
After those thoughts na maamuzi ya kwenda binti nikamwambia poa not a big deal, nikamtonya shosti yangu akaniambia usiogope nothing he shall do to you! Hao mpaka coloessum
After coffee akasema twende ukaone mahali ninapoishi nkamwambia poa............
Kufika hapo, akaanza can we spend a night together?
Nikamwambia what will be the reward? huwezi nikunja usiku mzima for nothing atiiiii, cause i know hakuna love!!
Boss aka offer 500,000/ nikamwambia labda millioni tano!!!!!
Kapanda mpaka 3.5 mil nikasema 5 mil cash final + HIV test!
Akasema hapana that is too much! nIkamwambia then call it a day and take me home!!!!!!


SASA ananisumbua sana anasema ile pesa tayari ameshaipata na anataka anipe hizo milioni 5 ili nilale nae usiku mzima, mimi nimeshabadilisha mawazo na sitaki tena kufanya huo ujinga ila boss wangu amekazania na anonyesha yupo serious na ili jambo....
USHAURI JAMANI SIJUI NIFANYAJE, NIPO NJIA PANDA

Comments

Popular posts from this blog