Posts

MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE NDANI YA CHIMALA,MBARALI,MAKAMBAKO NA MAFINGA,KESHO KUUNGURUMA IRINGA MJINI

Image
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli pamoja na Mgombea Ubunge wa jimbo la Makambako Ndugu Deo Sanga wakiwaiambisha wananchi wa Mafinga katika uwanja wa Polisi Mwembetogwa mkoani Iringa leo Septemba 27 kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni. Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Mafinga katika uwanja wa Mafinga mkoani Iringa leo Septemba 27 kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni.   Mmoj wa Waangalizi wa Uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu,akifuatilia mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli mjini Makambako jioni ya leo Septemba 27 mkoani Iringa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mufindi Kusini Ndugu Mahmoud Mgimwa akipiga push up mbele ya wakazi wa Mafinga waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni wa kumnadi mgombea wa urais kupitia CCM Dk

MSANII OTILIA LIVE NA ALLY YANGA

Image
Richard Bukos, aliyekuwa Geita KATIKA hali iliyoashiria usaliti, Jumapili iliyopita msanii wa Bendi ya ToT, Otilia Boniface alinaswa ‘live’ na shabiki maarufu wa Yanga aitwaye Ally Said ‘Ally Yanga’ wakibusiana. Katika tukio hilo wawili hao walinaswa kwenye Viwanja vya Chato, mkoani Geita wakifanya usaliti huo huku Otilia na njemba huyo wakidaiwa kuziacha familia zao jijini Dar.Wakiwa kwenye starehe zao, paparazi wetu aliliona tukio hilo na kuanza kuwafotoa picha ambapo Ally Yanga aligeuka mbogo na kuanza kumchimbia mkwara paparazi wetu. “Ebwana mambo gani sasa hayo hebu futa picha hizo haraka sana tusije kuharibiana, mimi nina mke wangu naye ana mumewe hivyo hizo picha zitatuharibia,” alisema Ally Yanga. Akizungumza na paparazi wetu, Otilia alisema katika tukio hilo walikuwa wakisalimiana tu na hakukuwa na dhamira nyingine kwa kuwa kila mmoja ana ndoa yake. Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo alisikika akimtaja Ally Yanga kuwa ni mkali wa ‘totoz’ hivyo mume wa Otili

Nay wa Mitego Amvaa January Makamba..Adai January Ndio Mnunuzi Mkuu wa Akina Dr Slaa, Lupumba, Twaweza na Wasanii

Image
Msanii  wa  bongo  fleva, Nay  wa  Mitego  amemvaa  mjumbe  wa  kamati  ya  Kampeni  ya  CCM,January  Makamba  na  kudai  yeye  ni  mnunuaji  mkuu  wa  tafiti  na  wasanii  kwa  lengo  la kukisaidia  chama  chake. Nay  alimjibu  January  Makamba  aliyepost  ujumbe  ukionyesha  kushangaa  tuhuma  dhidi  ya  CCM  kuwa  imekuwa  ikinunua  wanasiasa,tafiti  pamoja  na  wasanii  kwa  lengo  la  kuulaghai  umma. " Zitto kanunuliwa. Slaa kanunuliwa. Lipumba kanunuliwa. Twaweza imenunuliwa. Synovate imenunuliwa. Wasanii wamenunuliwa. Tuwe creative kidogo"   Aliandika  January  Makamba. " Ni kabisaa kwani uongo? We ndo mnunuzi mkuu. Bro kama ubunifu ni hela basi we Master wa Ubunifu... @JMakamba Ongeza ubunifu bro " Alijibu  Nay  wa  Mitego

LIGI KUU ENGLAND : MANCHESTER UNITED WAICHAPA SUNDERLAND 3

Image
Wayne Rooney celebrates scoring Manchester United's second goal in their 3-0 Premier League win over Sunderland on Saturday Rooney (centre) doubled United's advantage seconds after half-time - bundling home from close range The 29-year-old watches on as his strike nestles into the back of the net on 46 minutes against Sunderland The United skipper (second left) was congratulated by his team-mates after finally opening his Premier League account this season Rooney looks to the heavens as his 12-game goalscoring drought in the Premier League finally comes to an end Sunderland boss Dick Advocaat (left) and United counterpart Louis van Gaal share a laugh with each other before the game Sunderland midfielder Lee Cattermole (right) gets to grips with United captain Rooney during the early exchanges of the match Former United defender John O'Shea (left) stretches for a 50/50 challenge with United forward Memphis Depay United for

ANGALIA PICHA ZA MCHEZO WA SIMBA NA YANGA

Image
Kikosi cha timu ya Yanga Kikosi cha timu ya Simba Mashabiki wa Yanga. Mashabiki wa Simba. Amissi Tanbwe wa Yanga akimtoka beki wa Simba. Shughuli ikiendelea. Amissi Tambwe na Ngoma wakishangilia goli la kwanza. Kaba nikukabe . Majina ya wachezaji wa timu ya simba na wa Yanga. LIGI Kuu Tanzania Bara mceho wa watani wa jadi, Simba na Yanga umekwisha, Yanga wakiibuka na ushindi mnono wa bao 2-0. Bao la kwanza la Yanga liliwekwa kimyani na shambuliaji Amissi Tambwe dakika ya 44. Malimi Busungu nae akamipa bao la pili na la kuongoza kwa timu yake hiyo dakika ya 79 akimalizia mpira wa kurushwa wa Mbuyu Twite. Dakika 90 zimemalizika, Yanga akiondoka na pointi tatu mhimu na kuendelea kujikita kileneni mwa Ligi Kuu Tanzania Bara. PICHA NA MUSSA MATEJA/GPL