ANGALIA PICHA ZA MCHEZO WA SIMBA NA YANGA

Kikosi cha timu ya YangaKikosi cha timu ya SimbaMashabiki wa Yanga.


Mashabiki wa Simba.Amissi Tanbwe wa Yanga akimtoka beki wa Simba.Shughuli ikiendelea.
Amissi Tambwe na Ngoma wakishangilia goli la kwanza.
Kaba nikukabe
.
Majina ya wachezaji wa timu ya simba na wa Yanga.
LIGI Kuu Tanzania Bara mceho wa watani wa jadi, Simba na Yanga umekwisha, Yanga wakiibuka na ushindi mnono wa bao 2-0.
Bao la kwanza la Yanga liliwekwa kimyani na shambuliaji Amissi Tambwe dakika ya 44.
Malimi Busungu nae akamipa bao la pili na la kuongoza kwa timu yake hiyo dakika ya 79 akimalizia mpira wa kurushwa wa Mbuyu Twite.
Dakika 90 zimemalizika, Yanga akiondoka na pointi tatu mhimu na kuendelea kujikita kileneni mwa Ligi Kuu Tanzania Bara.
PICHA NA MUSSA MATEJA/GPL

Comments

Popular posts from this blog