Posts

Batuli: Rushwa ya Ngono iliniondoa Kaole

Image
Msanii wa bongo movie Batuli ameweka wazi kuwa alikimbia kundi la Kaole sanaa Group baada ya kukutana na changamoto nyingi ikiwepo changamoto ya rushwa ya ngono.     Batuli alifunguka hayo Jumatano alipokuwa katika kipengele cha Kikaangoni kinachofanyika kila siku ya Jumatano kupitia ukurasa wa facebook wa EATV. Batuli alifunguka na kusema kuwa moja ya sababu kubwa ambayo ilimfanya kuondoka katika kundi hilo ilikuwa kuombwa rushwa ya ngono ili aweze kupewa kipaumbele zaidi kuliko wasanii wengine jambo ambalo kwa upande wake hakuwa tayari kulifanya na kuamua kuondoka katika kundi hilo. Batuli anasema kabla ya kuweza kutoka kupitia mkono wa Kanumba alishasota sana katika kundi hilo na alikuwa akibaniwa nafasi kutokana na kutokubaliana na watu ambao walikuwa wakimtaka kingono ili waweze kumpa kipaumbele zaidi, ndipo hapo alipoamua kuondoka na baadaye msanii Kanumba ndipo alipoamua kumpa nafasi na kuweza kumtoa kisanaa. "Nilijiunga kaole lakini b

DKT MAGUFULI AREJEA JIJINI DAR BAADA YA KUJITAMBULISHA MIKOA KADHAA,APOKELEWA KWA KISHINDO

Image
  Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Mji wa Chalinze (hawapo pichani) alipokuwa akirejea jijini Dar jana jioni akitokea mkoani Dodomaakitokea Mkoani  Dodoma.  PICHA NA MICHUZI JR-MICHUZI MEDIA GROUP  Wakanazi wa Bagamoyo wakimsikiliza Dkt Magufuli wakati alipokuwa akijitambulisha kwao  Mkazi wa Bagamoyo akifurahia jambo  Wananchi wakimshangilia Dkt Magufuli (hayupo pichani) alipokuwa akijitambulisha kwao hapo mjani mjini Bagamoyo   Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Chalinze,ambaye anawania tena nafasi ya Ubunge katika jimbo hilo Mh.Ridhiwani Kikwete akiwasalimia Wananchi wa Chalinze na kumkaribisha Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli aliposimama mjini hapo kuwashukuru Wananchi wa Chalinze (hawapo pichani) pamoja na kujitambulisha kwao alipokuwa akirejea jijini Dar jana jioni akitokea mkoani Dodoma.  Aliyekuwa Mbunge wa ji

RAIS BARACK OBAMA ATEMBELEA UBALOZI WA ZAMANI WA MAREKANI ULIOLIPULIWA MWAKA 1998 NAIROBI KENYA.

Image
 Wananchi wa Kenya wakiwa na shauku ya kumwona Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama alipotembelea Ubalozi wa zamani wa Marekani uliolipuliwa mwaka 1998 jijini Nairobi nchini Kenya.  Wananchi Kenya wakiwa na furaha ya kumwona Rais Barack Obama alipotembelea jengo la Ubalozi wa Marekani nchini Kenya lililolipuliwa mwaka 1998.  Watu ni wengi kweli kweli wakiwa na shauku ya kumowna Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama ambaye ameandika historia mpya ya Rais wa kwanza wa Marekani aliyemadarakani kutembelea nchini Kenya.  Wanahabari wa kimataifa na wazawa wakiwa kwenye eneo la tukio Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili sauti ya Amerika Dr. Hamza Mwamoyo (kushoto) akiwa eneo la tukio kuhabarisha yote yaliyojiri pande hizo kwa ujio wa Rais Barack Obama. a

MANCHESTER UNITED YAITANDIKA BARCELONA BAO 3 -1

Image
Kipindi cha pili kilianza kwa kasi ambapo Barca waliweza kuonesha kumiliki mpira kwani waliweza kupiga pass 314 kwa 198 huku zikiwa zenye asilimia 90.8 dhidi ya zile 80.8 za Manchester United. Manchester United Usiku wa Kuamkia jumapili ya tarehe 26/7/2015 waliweza kuandika historia katika Mchezo wa soka kwa kucheza Mechi na Magwiji wa soka kutoka Hispania timu ya Barcelona na Hadi kupyenga cha Mwisho ni Machester United iliyoibuka kidedea kwa Ushindi mnono kabisa wa Mabao 3 - 1 dhidi ya Barcelona. Ni Manchester United ambao walikuwa wakwanza kuandika bao la Kwanza mnamo dakika ya 8 ya mchezo huo kupitia kwa Mchezaji Wayne Rooney ambaye alifunga Goli hilo baada ya Mpira wa Kona kupigwa na Ashley Young na Kumkuta yeye na kupiga Kichwa safi kabisa na kumuacha Mlinda mlango wa Barcelona Ter Stegen akishindwa kuokoa Mchomo huo. HADI MAPUMZIKA MATOKEO YALIKUA Manchester United 1 - Barcelona 0 Mnamo dakika ya 60 ya Kipindi cha pili Suarez aliweza kupachi

ALICHOFANYA RIHANNA BAADA YA KUONANA NA BABA YAKE LIVE

Image
Rihanna akisalimiana na baba yake wakiwa kwenye mtoko wa kupata chakula cha usiku Rihanna doesn't joke with her family. While all her peers were at the BET Awards, she was with her daddy having dinner. In the past they were estranged after her Chris Brown assault He kinda did something that was really upsetting - he turned his back on me and went to the media and just got paid to talk about stuff. All these little interviews he was doing after the situation in February. I hadn't spoken to him and he was speaking as though we did (speak) and it was so disappointing to me. Nothing like father/daughter love.

LEMA AFUNGUKA LIVE: TUTAMPOKEA KIGOGO WA CCM,TETESI ZA KIGOGO HUYO ZIKO HAPA

Image
Mbunge wa Arusha Mjini,Godblees Lema, amesema watapokea "kigogo mkubwa" kutoka CCM pamoja na wenyeviti wa mikoa na wilaya katika mkutano utakaofanyika Dar-es-salaam. Mkutano huo utafanyika wiki ijayo kwa mujibu wa taarifa hiyo. Shinikizo dhidi ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, la kumtaka akihame Chama Cha Mapinduzi (CCM) linazidi kuongezeka na katika timu yake ya ndani ni watu wawili tu wanaonekana kumtaka abakie ndani ya chama hicho. Habari za ndani ya vikao vya kujadili hatua za kuchukuliwa na Lowassa baada ya jina lake kukatwa kwenye mchakato wa kugombea urais kupitia CCM, zinasema kuwa wandani wake wanaamini kuwa hana atakachopata kama ataendelea kubaki kwenye chama hicho tawala.  BOFYA HAPA KUSOMA YOTE

WASSIRA AMTWANGA NA KUMJERUHI MWENYEKITI WA CCM MKOA WA MARA

Image

TEAM WEMA WAMCHARUKIA DIAMOND BAADA YA KUTOA MANENO MACHAFU KWA WEMA BAADA YA WEMA KUSHINDWA UBUNGE

Image
This are 10 statement from Wema Sepetu about her x-boyfriend Diamond Platnumz!! You cant believe how she appreciate and respect Diamond Talent's!! MUST READ. Few month ago actress and former miss Tanzania wema sepetu speak out about his x-boyfriend at EFM radio program known as Ubaoni and this is the ten statement she made about diamond platnumz.

DIAMOND PLATNUMZ ASHINDA TUZO NYINGINE AFRIKA KUSINI ‘AFRICAN ACHIEVERS AWARDS’.

Image
Msani wa bongo fleva Diamond Platnumz ameshinda tuzo ya ‘African Achievers Awards’ katika tuzo zilisofanyika Afrika kusini, Tuzo aliyoshinda Diamond ni ya  Artist of the Year ‘Msanii Bora Wa Mwaka’.

Tukio Lisilo la Kawaida MALAIKA Aanguka Nchini UINGEREZA..Watu Wamiminika Kushuhudia

Image
Tukio lisilo la kawaida limetoa huko Uingereza.... MALAIKA aanguka nchini UINGEREZA na kuifadhiwa sehemu maalum ambapo watu wameanza kumiminika kwenda kumshuhudia

BREAKING NEWZZZZ...DR. MAGUFULI AANDIKA UJUMBE HUU MZITO SASA HIVI MTANDAONI, AMA KWELI KAZI IPO SI MCHEZO

Image

RAIS GLOBAL PEACE FOUNDATION TANZANIA DR. SALEM ABDULLA ALIPOAGANA NA MARAIS NA MAWAZIRI WA NCHI 20 ZA DUNIA LEO ASUBUHI ZANZIBAR LIVE!

Image
 Mkutano huu ulihudhuriwa  na nchi 20.na mabalozi.marais.wabunge. viongozi wa dini mbali mbali.  Dr. Salem Abdulla rais wa Global Peace Foundation Tanzania leo asubuhi baada ya kukifunga rasmi kikao cha semina kilichofanyika Zanzibar kilichowakutanisha Marais wa sasa na wa zamani wa Nchi kadhaa za KiAfrika na pia Viongozi wa Dini.              semina ilihudhuriwa kwa muda mchache na mgombea Urais mteule wa CCM Dr. Magufuli ambaye alipitia hapo kumuona rafiki yake wa karibu sana Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Bw. Raila Odinga