Posts

MAJINA YA WAJUMBE WATAKAOSHIRIKI KATIKA BUNGE LA KATIBA WATAJWA JIONI HII IKULU DAR ES SALAAM

Image
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UTEUZI WA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA UTANGULIZI 1. Uteuzi wa Wajumbe wa Bunge la Katiba Unatawaliwa na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura, 83 (The Constitutional Review Act, Cap 83). Sheria hii inaweka mamlaka ya uteuzi, masharti, taratibu, vigezo na mambo mengine yote yanayopaswa kuzingatiwa katika uteuzi wa Wajumbe wa Bunge la Katiba. Kwa mujibu wa Kifungu cha 22 (2A) na (2B) vigezo hivi vinajumuisha umri, jinsia, uzoefu, sifa na mahali anapotoka mjumbe husika. 2. Sheria hii inatamka aina tatu za Wajumbe wa Bunge la Katiba kama ifuatavyo:- (i) Wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano; (ii) Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar; na  (iii) Wajumbe 201 kwa mujibu wa Kifungu Na. 22(1c) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ambayo inaonyesha makundi mbalimbali 10 yanayohusika. 3. Makundi hayo ni kama ifuatavyo:- (i) Taasisi zisizokuwa za Kiserikali (20) (ii)

Binti afumaniwa na mume wa mtu Wakivunja amri ya sita

Image
Sukari hugeuka shubiri pale fumanizi linapochukua nafasi na hiyo ndiyo sababu ya mwanamke anayeitwa Sheila kukiri kwamba mume wa mtu ni sumu kisha kujiapiza kuwa hatarudia tena. Sheila, alifumwa na mume wa mtu anayeitwa Baba Joyce kwenye nyumba moja ya kulala wageni, iliyopo Manzesei. Domo lagu , lilinyetishiwa fumanizi hilo baada ya vurugu kuanza na lilipofika eneo la tukio, lilimkuta mwenye mume, Mama Joyce akimsulubu Sheila kwa makonde, mateke na vichwa. Shuhudia  picha  hapo  chini Asante kwa kutembelea blog yetu, Unaswali ? Wasiliana nasi : shaddyclassic@gmail.com. Tafadhali acha maoni yako hapo chini. Asante na naimani umefurahi...

MGOMVI WA MKE WA RAIS ZUMA KUREJESHWA NCHINI, KUTOTIA MGUU TENA AFRIKA KUSINI

Image
    Mke wa Rais Jacob Zuma, Nompumelelo Ntuli (MaNtuli) Mtanzania Stephen Ongolo anayekabiliwa na madai ya kutishia kutoa siri za mke wa Rais Jacob Zuma, Nompumelelo Ntuli (MaNtuli), huenda akarudishwa nchini na kuzuiwa kuitembelea Afrika Kusini milele.  Hayo yalisemwa na Mkuu wa Tawi la Uchunguzi wa Kesi, katika Jimbo la Kwa Zulu-Natal, Brigedia Clifford Marion, wakati kesi ya Ongolo ilipokuwa ikisikilizwa katika Mahakama ya Camperdown, jijini Durban. Ilielezwa kuwa, Ongolo si raia wa Afrika Kusini na kwamba alirudi nchini humo Januari 19 mwaka huu baada ya kurejea kutoka katika mizunguko yake katika nchi kadhaa za Afrika zikiwamo, Tanzania, Malawi, Msumbiji na Ethiopia. Ilielezwa kuwa visa yake inamalizika Februari 18 mwaka huu. “Atarudi nchini mwake Tanzania na hatarudi tena Afrika Kusini,” alisema Marion. Chanzo chetu cha habari kilichohudhuria kesi hiyo, kilisema Brigedia Marion alihojiwa kuhusu taarifa za mashtaka dhidi ya Mtanzania huyo amb

ANGALIA PICHA ZA AFISA MTENDAJI WA KATA ALIVYOSHAMBULIWA NA WATU WASIOJULIKANA

Image
  Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Khamis M. Mgeja alienda kumpa pole Afisa Mtendaji wa kata ya Ubagwe katika halmashauri ya wilaya ya  Ushetu Alphonce John Kimario aliyejeruhiwa kwa kushambuliwa na mapanga na watu aliowataja kuwa ni wafuasi wa Chadema. Hii inasemekana kutokana na vurugu zilizotokea jioni ya February 04,majira yakiwa ni saa 1 usiku katika kata ya Ubagwe muda mfupi baada ya kumalizika kwa kampeni za kumnadi mgombea wao. Akizungumza na waandishi wa habari Afisa huyo Mtendaji wa kata ya Ubagwe Alphonce John Kimario amesimulia kuwa pamoja na kuumia vibaya machoni hasa jicho lake la kulia pia analalamika juu ya maumivu makali. Maumivu anayodai kuyasikia kwa sasa Kimario yapo sehemu za mgongoni na hii ni mara baada ya kupigwa na nondo ambapo kwa hivi sasa upande wa kulia pamoja na bega lake umekufa ganzi Kimario ambaye amepigwa nondo,mapanga na kwenye paji la uso kiasi cha kushonwa n

Wawili wapoteza maisha katika ajali ya gari

Image
Mtoto mmoja aliyelalaliwa na kusababisha kifo chake na basi la    Zuberi    T.119 AZZ lilokuwa likitokea Mwanza kuelekea jijini Dar-es-salaam na kupinduka katika eneo la kijiji cha Tumaini kata ya Issuna wilaya ya Ikungi wakati likimkwepa bibi aliyekuwa akikatisha barabara.(Picha na Nathaniel Limu). Mmoja wa majeruhi akiwa amelazwa katika Hosptali ya Mkoa ya Singida. Mmoja wa majeruhi akiongea na waandishi wa habari katika Hospitali ya mkoa mjini Singida. Basi la Zuberi  T.119 AZZ lilokuwa likitokea Mwanza kuelekea jijini Dar-es-salaam na kupinduka katika eneo la kijiji cha Tumaini kata ya Issuna wilaya ya Ikungi wakati likimkwepa bibi aliyekuwa akikatisha barabara.(Picha na Nathaniel Limu). Na Nathaniel Limu, Singida BASI la kampuni ya   Zuberi    T.119 AZZ lililokuwa linatokea jijini Mwanza likielekea jijini Dar-es-salaam,limepinduka na kusababisha vifo vya abiria  wawili na kujeruhi vibaya wengine arobaini wakati likimkwepa bibi mmoja aliyekuwa anaka

NHIF YAKUSANYA MICHANGO SH237 MILIONI

Image
Mfuko wa Taifa wa Bima ya afya (NHIF) mkoa wa Iringa umekusanya Sh236.8m ikiwa ni michango ya wanachama kutoka kwa waajiri wao katika kipindi cha mwaka 2013/2014. Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili, Meneja wa NHIF mkoa wa Iringa, Emmanuel Mwikabe amesema kuwa kiasi cha Sh milioni sita hakijakusanywa kutoka kwa waajiri kutokana na kutowasilisha kwa wakati na wengine kuwa na malimbikizo ya michango. Akichanganua Mwikabe amesema Hospitali teule ya Tosamaganga inadaiwa malimbikizo ya sh490, 298, Halmashauri ya wilaya ya Iringa Sh3.2milioni na Halmashauri ya wilaya ya Mufindi Sh2.4milioni. Aidha amesema moja ya changamoto waliyoibaini baada ya kufanya ukaguzi ni vituo na hospitali kutokuwa na uwazi wa mapato yatokanayo na bima ya afya na fomu za bima ya afya hasa kwenye vituo vya serikali hazijazwi vizuri. Changamoto nyingine ni baadhi ya watumishi katika vituo vinavyotoa huduma kujihusisha na vitendo vya kughushi ambapo madai ya Sh6.7 milioni hayakulip

ZIFAHAMU AINA 10 ZA WANAUME WALIO KWENYE NDOA

Image

Mhudumu wa baa iliyopo maeneo ya posta jijini Dar anaswa akimnyonya maziwa mteja wake

Image
  Muhudumu wa kiume wa baa moja maarufu iliyopo Posta Jijini Dar hivi karibuni alinaswa akifanya ufuska kwa kumnyonya maziwa hadharani mteja wake wa kike. Tukio hilo ambalo lilishuhudiwa pia na wahudumu wa baa hiyo  lilitendwa  na  jamaa  huyu   kwa  mrembo  ambaye  alionekana  kunywa  pombe  kupita kiasi , hali  iliyomfanya  asijitambue Kijana huyo aliyefahamika kwa jina la Emmanuel Chambuso alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya menejaa wake kufika na kushuhudia tukio hilo, hali  iliyomlazimu  meneja  huyo  kuchukua   uamuzi  mgumu  wa  kumtimua  kazini. - See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2014/02/mhudumu-wa-baa-iliyopo-maeneo-ya-posta.html#sthash.9hBo6jM5.dpuf Mhudumu wa baa iliyopo maeneo ya posta jijini Dar anaswa akimnyonya maziwa mteja wake Written By Emmanuel Shilatu on Thursday, February 6, 2014 | 9:25 AM Muhudumu wa kiume wa baa moja maarufu iliyopo Posta Jijini Dar hivi karibuni alinaswa akifanya ufuska

MADAM RITA AAMUA KUWAFUNZA WANAUME JINSI YA UTANASHATI

Image

MAMEN AVUJISHA PICHA ZA UTUPU WA MNYAMA ZA MBEBEZ WAKE WANAFUNZI WA UDOM LIVE!!

Image

AUNTY EZEKIEL AFUMANIWA AKIJIUZA LIVE ... JIONEE MWENYEWEE

Image
Msanii mwenye nyota ya kung’ara katika tasnia ya muvi Bongo, Aunt Ezekiel Gryson ‘Gwantwa’ amenaswa na Domo langu  akiwa katika   foleni  ya  makahaba  ya  kujiuza  , jijini Dar…Shuhudia  picha  hapo  chini SOURCE : DOMO LANGU

TABIA ZA WANAUME ZISIZOWAPENDEZA WANAWAKE!!!!SOMA HAPA UKAJIREKEBISHE!!

Image
1. Aina ya kwanza ni ile ya mwanaume ambaye anatatabirika.     Wanawake hawapendi wanaume wanaotabirika kwa sababu wanaelewa ni jinsi gani watalipokea jambo lolote linalotokea. Mwanamke anaweza kujua kabisa kwamba, leo atatolewa outing au hapana, ataletewa zawadi au la. Yaani hakuna kitu tunachokiita surprise. Wanawake wanataka kiasi fulani cha kutotabirika toka kwa wanaume. Ndio maana utakuta anaishi au kuolewa na mwanaume jeuri au mwenye roho mbaya . siyo kwamba anampenda kwa jeuri yake, bali kwa kutotabirika kwake.   2. Aina ya pili ni ile ya mwanaume anayejisikia (mwenye maringo). Huyu kwa kawaida ni mbinafsi sana. Ni jeuri siyo kwa mpenzi wake tu, bali hata kwa mtu yeyote ambaye anamuona yuko chini yake. Kuwaringia watu wengine ni sawa na kumringia mpenzi wako moja kwa moja.   3. Aina ya tatu ni ile ya wanaume jeuri. Mtu jeuri hana aibu! Wakati mwingine anaonesha waziwazi kwamba anamtamani mwanamke mwingine mbele ya mpenzi wake! Anafikia hatua ya kums

Fahamu namna ya kuishi na mpenzi anayependa fedha!

Image
  HAPA tunazungumza kuhusu mapenzi kama kawaida yetu. Leo nimekuja na mada ambayo naamini itawagusa wengi. Marafiki zangu, kusaidia katika mapenzi ni jambo zuri tena lenye mantiki sana. Suala la kusaidiana si la upande mmoja. Linaweza kuwa kwa wote, kwa mwanaume au mwanamke. Ni kati ya nguzo muhimu katika mapenzi, lakini kwa bahati mbaya kuna wale ambao wamekuwa na tabia ya kupenda sana fedha! Unajua wenzi wanajuana kulingana na wanavyoishi, hivyo ni rahisi sana kumgundua mwenzako kama anapenda sana fedha au ni kweli ana tatizo linalohitaji msaada wako. Hii ni kasoro, lakini haimaanishi kwamba ndiyo sababu ya kuachana. Katika mada hii ipo dawa ya namna ya kudumu katika mapenzi motomoto na mwenzi wa aina hii. Imekuwa ni kawaida kumsikia msichana akitamba mbele ya wasichana wenzake kwa kusema: “Mimi nina kibuzi changu bwana kila ninachotaka kinanipa, kinajua kisiponipa nakitosa tu, yaani nakichuna kama sina akili nzuri.” Umewahi kukutana na man