Figa Ya Sasha Yazua Utata


Sasha Kassim.
KALIO la muuza nyago wa video mbalimbali za wanamuziki Bongo, Sasha Kassim limezua utata kwa kudaiwa kuwa si halisi.
Chanzo kimepenyeza ubuyu kuwa, Sasha amekuwa ‘akijiedit’ kupitia simu yake hivyo watu kumuona ana kalio kubwa tofauti na uhalisia.
Sasha akionyesha figa yake bomba.
“Wewe kutana naye hivi laivu halafu utaniambia,” alisema mtoa ubuyu.
Alipoulizwa Sasha kuhusiana na hilo alisema; “Siwezi kuwazuia watu kuongea sifoji kitu mimi, siri kubwa ya shepu yangu ni mapozi kwenye picha na aina ya mavazi ninayovaa.”

Comments

Popular posts from this blog