DIAMOND PLATINUMS ATAJWA KUWANIA TUZO ZA BET . Tuzo hizo zitatolewa mwishoni mwa mwezi Juni nchini Marekani. Mwananmuziki Diamond Platnumz ametajwa kwa mara ya pili kuwania tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act: Africa. Wakali wengine wanaowania tuzo hiyo ni pamoja na Wizkid, Yemi, AKA na wengineo

Tuzo hizo zitatolewa mwishoni mwa mwezi Juni nchini Marekani.


Mwananmuziki Diamond Platnumz ametajwa kwa mara ya pili kuwania tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act: Africa.
Wakali wengine wanaowania tuzo hiyo ni pamoja na Wizkid, Yemi, AKA na wengineo

Comments

Popular posts from this blog