A-Z Shoo ya Jide Mlimani City

JAY DEE NAAMKA TENA M CITY (2) JAY DEE NAAMKA TENA M CITY (3) JAY DEE NAAMKA TENA M CITY (4) JAY DEE NAAMKA TENA M CITY (5) JAY DEE NAAMKA TENA M CITY (6) JAY DEE NAAMKA TENA M CITY (7) JAY DEE NAAMKA TENA M CITY (8) JAY DEE NAAMKA TENA M CITY (9) JAY DEE NAAMKA TENA M CITY (10) JAY DEE NAAMKA TENA M CITY (11) JAY DEE NAAMKA TENA M CITY (12) JAY DEE NAAMKA TENA M CITY (13)
JAY DEE NAAMKA TENA M CITY (1)
Malkia wa Bongo Fleva, Lady Jay Dee usiku huu amefunika vilivyo katika shoo yake ya Nasimama Tena iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City.
Staa huyo akiwa na vijana wake wamepiga shoo kali ya Live iliyochukua saa tatu na kuzikonga vilivyo nyoyo za mashabiki walioshindwa kujizuia kukaa kwenye viti vyao na kunyanyuka mara kwa mara kwenda stejini kucheza nyimbo mbalimbali za malkia huyo.
Shoo hiyo imehudhuriwa na mastaa kibao wa Bongo Fleva na Bongo Movies wakiwemo Alikiba, Idrisa Sultan, Wema Sepetu, Elizabeth Michael na wengineo kibao.
Usikose kuangalia Global TV Online kuona video za matukio yote yaliyojiri.
Picha: Clarence Mulisa, Gabriel Ng’osha na Rishard Bukos / GPL

Comments

Popular posts from this blog