BREAKING NEWS : CAG ATAJA MAJIPU SUGU KWA TAIFA

[​IMG]

=========
UPDATES:
=========

=> Ulaji na uzembe vinatajwa kubeba sehemu kubwa ya ripoti hii.

=> Misamaha ya kodi 2014/15 ni asilimia 2 ya pato la taifa kinyume cha asilimia 1

=> Halmashauri 40 hivi ndo zenye hati safi kati ya halmashauri zaidi ya 160

=> Bidhaa a bilioni 9 za kupelekwa nje ziliuzwa hapa hapa nchini. Upigaji huo wa ukwepaji kodi.

=> Bidhaa za bilioni 89 za nje hakuna ushahidi kama zilienda Rwanda, Burundi na Uganda.


=> Rufaa za kodi nyingi mno zimedoda mahakamani na hivyo kuikosesha serikali kodi

=> Deni la Taifa hadi Juni 2015 lilifikia trilioni 33.5. Ndani ya mwaka mmoja lilikua kwa trilioni 7!

=> Malipo kwa deni kwa mwaka ni trilioni 4.

=> Deni na mishahara inamaliza mapato yote ya taifa. CAG anahoji, tutapata wapi pesa za maendeleo?

=> CAG Anataka maduka ya fedha za kigeni yadhibitiwe

=> Vyama vya siasa, kimoja tu kimewasilisha hesabu. Vyama 21 bado, Msajili afiatilie. Hajakitaja chama kilichowasilisha

=> Mishahara hewa katika Taasisi za umma 16 ni Shilingi bilioni 390. Mishahara ambayo haikulipwa na haikurejeshwa hazina ni bilioni 2


=> Sh. Milioni 700 za makato ya watumishi kwa Katavi na Kilimanjaro hayakuwasilishwa kwenye mifuko ya Hifadhi ya Jamii.

=> Sh. Milioni 827 za vifaa vya upigaji kura zilitumika kwa kazi isiyo na tija katika Uchaguzi 2015


=> Nakala 158,003 za Katiba Pendekezwa hazikusambazwa kwa walengwa wakati wa mchakato wa Katiba Mpya

=> Manunuzi yenye thamani ya Sh. Bilioni 27 yalifanywa na Mashirika ya Umma bila ushindani


=> Cheti cha uendeshaji ATC kimeisha muda tangu 2010. ATC ina Wafanyakazi wengi kuliko kazi zilizopo

=> Bidhaa za bilioni 9 za kupelekwa nje ziliuzwa hapahapa nchini. Nia ni kukwepa kodi!

=> Bidhaa za Sh. Bilioni 89 za kwenda nje hakuna ushahidi kama zilienda Rwanda, Burundi na Uganda.


=> CAG ataka UDA irejeshwe serikalini. Mwenyekiti wa Bodi ya UDA, Idd Simba aliwekewa sh. milioni 320 ktk akaunti yake binafsi.

=> Kampuni ya SAAFI inadaiwa Sh. bilioni 17. Hii ni ya mwanasiasa mkongwe, Mzindakaya.

Comments

Popular posts from this blog

PICHA ZA UTUPU ZILIZOPIGWA NA MWANAFUNZI WA UDOM ILI KUTANGAZA SOKO LA MWILI WAKE. TAZAMA HAPA