Rais Magufuli na Mke Wake Wamekifagilia Kipindi cha 360 cha Clouds FM..Wapiga Simu Laivu Wakiwa Hewani Nakusema Haya


Leo asubuhi Mkuu wa Nchi Rais John Pombe Magufuli amepiga simu kwa kusuprise kwenye kipindi cha Clouds 360 cha Clouds TV huku kikiwa hewani na Kuwaambia kuwa yeye na mkewe ni washabiki wakubwa sana wa kipindi hicho..amesema yeye na mkewe kila asubuhi huwa waangalia na kufurahishwa sana na watangazaji hao....Mkewe naye aliongea na kusema huwa anacheka sana kwa vituko vya watangazaji hao wakati wakichambua habari mbali mbali ....

Hongera wana Clouds 360.....

Comments

Popular posts from this blog