DK.KIGWANGALLA AKUTANA NA MADAKTARI WALIOHITIMU MAFUNZO KWA VITENDO 2014/15


kigwangalla ioNaibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla (katikati) akifuatilia mkutano huo uliowakutanisha Madaktari waliohitimu mafunzo kwa vitendo 2014/2015 (waliokaa upande wa kushoto). Wengine waliokaa upande wa kulia ni viongozi watendaji wa ngazi za juu wa Wizara hiyo wakifuatilia mkutano huo. Madaktari hao walifanya mkutano huo kwa lengo la kutaka kufahamu masuala mbalimbali ikiwemo suala la ajira.
Kigwangalla34Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla (wa pili kutoka kushoto) akitoa ufafanuzi kwa wanafunzi hao juu ya mipango ya Wizara hiyo na namna ilivyojipanga ikiwemo kushughulikia suala lao hilo ambalo ni la kiutawala zaidi.

Comments

Popular posts from this blog