Diamond kakutana na Kanye West Marekani

Yoyote ambae anaufuatilia muziki wa Kanye West akikutana nae hawezi kuacha kupiga nae picha. Diamond alisafiri kuelekea Marekani Las Vegas kwa ajili ya kufanya  show, ambapo kwenye maelezo ya hii picha, ilionekana wakati huo alikuwa Los Angeles.
mond
Kwa ninavyo fahamu Diamond anakuwa mtanzania mwingine, aliyepiga picha na Kanye West, ambapo Vanessa Mdee amewahi kukutana na Kanye West na kuongea nae.
382847_329955140350553_566909671_n
Hapa ni Vanessa Mdee kulia alipokutana na Kanye West

Comments

Popular posts from this blog