ALICHO ANDIKA MH. ZITTO KABWE BAADA YA KUPITA KWENYE DARAJA LA KIGAMBONI



Naona Kigamboni ikibadilika kabisa. Inapaswa kuweka mipango Miji bora kuendana na uwekezaji huu wa Daraja. Haya ndio Maendeleo. Vitu vinaonekana badala ya porojo tu. 
Barabara zinazotoka na kwenda darajani ziboreshwe sasa. Vinginevyo itakuwa white elephant
shuhudia muonekano wa daraja hapa

Comments

Popular posts from this blog