ALICHO ANDIKA MASANJA MKANDAMIZAJI MALA BAADA YA KUSALIMIANA NA RAIS MAGUFULI


Ukisalimiana na mkuu wa nchi lazima ucheki pembeni kidogo, maana anaweza kuona kachunusi akadhani jipu. Kauliza nguo bei gani, nikasema tumegaiwa kanisani. Maana angeweza kusema hela umetoa wapi na risiti ya mashine ya TRA ya manunuzi iko wapi

Comments

Popular posts from this blog