RAIS JOHN MAGUFULI AKIWA OFISINI KWAKE SIKU YA KWANZA

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akifanyakazi ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam leo ikiwa ni siku yake ya kwanza ofisini kwake tangu alipoapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano.
(Picha na Freddy Maro)

Comments

Popular posts from this blog