IRENE UWOYA HATARINI KUPOTEZA UBUNGE VITI MAALUM

Muigizaji wa bongo movies Irene Uwoya aliyejiunga na ccm na kuchaguliwa kuwa mbunge wa viti maalum tabora yupo hatarini kupoteza cheo chake cha ubunge wa viti maalum na huenda wabunge viti maalum wengi sana wa ccm nao wataachia ngazi.
Mbunge viti maalum aliechaguliwa kwa sasa ataingia mjengoni mpaka ifikapo oktoba baad ya kampeni na uchaguzi ambapo kila
jimbo litapata mbunge(sio wa viti maalum) wake ambapo hawa wabunge wa viti maalum waliochaguliwa saizi italazimu idadi yao ilingane sawa na idadi ya wabunge wawakilishi wa majimbo wa vyama vyao, mfano kwa ccm mwaka 2010 kabla ya kampeni walikuwa na wabunge viti maalum 92 ila baada ya kampeni na uchaguzi ilipata wabunge 60, kutokana na kupoteza majimbo mengi hivyo ikabidi idadi ya wabunge wa ccm wa viti maalum ipungue toka 92 hadi 60, na wakati wao ccm waliandaa wabunge 92 wa viti maalum wakijua watapata majimbo mengi , matokeo yake ikabidi chama kiwapunguze hadi 60 na baada ya hapo nafas zilizobsaki 22 za wabunge viti maalum wakapewa chadema.

Kwa sasa ni wazi kabisa tembo yupo shambani ambayeaneyejifanya hamuoni aende mahututi, kwa upepo huu wa siasa
ni wazi kabisa ukawa, act na vyama vingine watachukua majimbo mengi sana kwenye nafasi za ubunge(sio ule wa viti maalum), hivy basi endapo CCM itapata wabunge kwenye majimbo machache asilimia hiyo ya wabunge itabidi ilingane na wabungewataopitishwa kwenda kuwakilisha majimbo kwa nafasi za viti maalum na kukilazimu chama kukata wabunge viti maalum wawe wachache.

Comments

Popular posts from this blog