BREAKING NEWS : MWENYEKITI WA CCM MKOA WA DODOMA ADAM KIMBISA ABWAGA MANYANGA.


Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Ndg. Adam Kimbisa, aachia ngazi. Amedai kuwa anataka kumpumzika siasa ila wadadisi wa mambo wanasema ni maandalizi ya kuja UKAWA. 

Comments

Popular posts from this blog