PICHA ZOTE KUTOKA KTMA NA WASHINDI WALIOCHUKUA TUZO.
















































Hii ni orodha nzima ya washindi wa KTMA 2015:
Mtumbuizaji bora wa muziki wa kiume wa mwaka – Alikiba
Mwimbaji bora wa kike Bongo Flava ameshinda – Vanessa Mdee
Msanii bora wa kiume Taarab – Mzee Yusuph
Mwimbaji bora wa kike Taarab – Isha Mashauz
Mwimbaji bora wa kiume bendi – Jose Mara
Wimbo bora wa mwaka wa muziki wa Taarab – Mapenzi Hayana Dhamana – Isha Mashauzi
Wimbo bora wa mwaka – Mwana (Alikiba))
Wimbo bora wa Kiswahili bendi – Walewale (FM Academia)
Wimbo bora wa muziki wa R&B – Sisikii (Jux)
Wimbo bora wa Hip Hop – Kipi Sijasikia (Professor Jay)
Wimbo bora wa Reggae & Dance Hall – Let Them Know (Maua Sama)
Rapper bora wa mwaka, bendi – Ferguson
Msanii bora wa Hip Hop – Joh Makini
Wimbo bora wa Afrika Mashariki – Sura Yako (Sauti Sol)
Mtunzi bora wa mwaka, Taarab – Mzee Yusuph
Mtunzi bora wa mwaka, Bongo Flava – Alikiba
Mtunzi bora wa mwaka, bendi – Jose Mara
Msanii bora chipukizi – Baraka Da Prince
Mtunzi bora wa mwaka Hip Hop – Joh Makini
Bendi bora ya mwaka – FM Academia
Mtayarishaji bora wa nyimbo, Bongo Flava – Nahreel
Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka, Taarab – Enrico
Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka, bendi – Amoroso
Wwimbo bora wenye vionjo vya asili ya Kitanzania – Mrisho Mpoto
Kikundi bora cha mwaka muziki wa Taarab – Jahazi Modern Taarab
Kikundi bora cha mwaka muziki wa Bongo Flava – Yamoto Band

Comments

Popular posts from this blog