SERIKALI YAZIFUTIA USAJILI TAASISI 24 ZISIZO ZA KISERIKALI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapenda kutoa taarifa kwa umma kuwa asasi za kiraia (NGOs) zilizoorodheshwa hapa chini zimefutiwa usajili wake kuanzia tarehe ya tangazo hili; kutokana na kukiuka matakwa ya kisheria katika utendaji kazi.
Kwa tangazo hili, uhalali wa kufanya kazi kwa mashirika haya umekoma na kuendelea kufanya kazi baada ya kufutiwa usajili ni kosa la jinai. Viongozi wa NGOs tajwa wanaagizwa kurejesha vyeti vya usajili kwa Msajili ndani ya siku thelathini baada ya tangazo hili.
Orodha hii inahusisha mashirika ya kimataifa yanayofanya kazi Tanzania. Orodha ya mashirika ya ndani inachambuliwa na itatangazwa muda wowote kuanzia sasa;
1. AFRICA CALL MANAGEMENT INSTITUTE (ACMI)
2. AFRICA CENTRE FOR PEACE AND DEVELOPMENT
3.AIDOS - TANZANIA
4. ASSOCIAZIONE CASAGLIA ROSETTA
5. COPE-COOPERATION DEVELOPMENT COUNTRIES
6. DAN CHURCH AID
7. DIGITAL LINKS TANZANIA
8. EKKLESIA INTERNATIONAL TANZANIA
9. FEED THE CHILDREN TANZANIA

10. GLOBAL ALLIANCE FOR AFRICA TANZANIA
11. GLOBAL VESSELS TANZANIA

12. HEALTH DEVELOPMENT INTERNATIONAL (HDI)

13. EMPOWERMENT RESULT IN BALANCE AND EQUALITY (ERBAAQ)
14. MENNONITE CENTRAL COMMITTEE IN TANZANIA (MCCTZ)

15. MIDMAY INTERNATIONAL

16. PAMOJA INC.

17. PAN AFRICAN WHEEL CHAIR BUILDERS ASSOCIATION (PAWBA)

18. JAMII ONLUS

19. THE BALM IN GILEAD TANZANIA

20. THE INTERNATIONAL INSTITUTE OF THE IOGT - NTO MOVEMENT

21. TROCAIRE

22. VETERINARIANS WITHOUT BORDERS GERMANY(VSF- GERMANY)

23. WORLD ISLAMIC CALL SOCIETY

24. WORLD SOCIETY FOR THE PROTECTION OF ANIMALS (WSPA),

        Imetolewa na;
        OFISI YA MSAJILI
        WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

Comments

Popular posts from this blog