KIMINI CHAMUUMBUA DADA HUYU




Hiyo ni Picha ya Msichana ambayo siku ya jana imesambaa sana mitandaoni... 
Inasemekana alipita maeneo ya Sinza akiwa amevaa kinguo kifupi ambacho kilivuta hisia za wanaume  wakware na kuanza kumzonga zonga wakitaka kumvua kabisa kimini hicho huku wengine wakimchoma vidole sehemu zake za siri.
Kwa bahati nzuri alitokea  jamaa  mmoja  mwenye  gari  ambaye  alimchukua  huyu  dada  na  kumficha  ndani  ya  gari  yake.....
Baada  ya  Wananchi  wenye  hasira  kali  kutishia  kupasua  vioo  vya  gari, jamaa  aliamua  kutafuta  boda boda ambaye  alimpakiza  na  kutimuka  nae  kwa  kasi  huku  wananchi  wakifukuzia  kwa  nyuma.






Baada  ya  jamaa  kuona  wananchi  wanataka  kupasua  vioo  vya  gari  aliamu  kumtosa  huyu  dada  na  kumtafutia  pikipiki
 
Mpekuzi blog

Comments

Popular posts from this blog