UKWELI KUHUSU TEVEZ MUME WA AISHA MASHAUZI ALIYEFANYIWA UNYAMA WA KUTISHA MAJUZI SOUTH AFRICA BAADA YA KUJILIPUA NA SEMBE


Mshikaji wa karibu sana wa Tevez ambaye ni mume wa Aisha Mashauzi, amepiga simu sasa hivi kuirekebisha kidogo hii habari anasema ni kwamba Tevez alijilipua na pipi mbili ambazo alikuwa amejipunda nazo na mpunga katia ndani tayari lakini alipofika tu huko chini kwa Mzee Madiba kuna wazee wa kazi waliokuwa na info kwamba kuwachomoka Wazee pale uwanja wa ndege anazo pipi hizo mbili. Wale wazee wakampiga kabali wanamchomoa zile pipi, so alipofika kwa Wazee wa waliompunda lile sembe akawaambia yaliyomsibu, wazee wakam chenjia gear na kumpa kipigo pamoja na kumchomoa uume wake halafu masaa kama 4 baadaye wakagundua kwamba ni kweli aliporwa zile pipi mbili na wazee wa kazi mtaani, imebidi wamrudie wamuombe msamaha na sasa wao ndio wanaomgharamia kumtibu. Mshikaji anasema habari za kusambaa kwa hizi habari zimemkuta Mshikaji Tevez Hospitalini na anataka kujiua so sasa hivi washikaji kibao wapo naye kwa karibu sana kumbembeleza atulize boli U know this is life na kwenye this life huwa tunaamua wenyewe maisha yetu kama na yeye alivyoamua kuishi maisha ya sembe!!

Comments

Popular posts from this blog