ANGALIA PICHA A ZA DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE BERNARD MEMBE


Katika tovuti ya Diamond ameamua kushare picha na mashabiki wake jinsi alivyokutana na Waziri Bernard Membe na kualikwa kula chakula cha usiku pamoja na kupata mawili matatu ya kuzungumza na waziri huyo 

 

mwenyezi Mungu Kwa kutupa uhai na nguvu
 ya Kuweza kufanya maonyesho yetu mjin
 Mtwara na Lind kwa mafanikio makubwa. 
Siwez sahau kuwashukuru wananchi kwa sapoti kubwa waliyotupatia..lakin
 shukran za dhati kabisa.


Nizifikishe kwa waziri wetu mpendwa
 mheshimiwa, Bernad Membe kwa kutambua
 mziki wetu na mchango wetu katika jamii . Ambapo alinipa
 heshima ya kujumuika na Kula chakula
 cha pamoja Na mwisho kufanya 
mazungumzo..kikubwa Tulizungumzia
 mziki wetu na mchango wake na jinsi gani Ya kuukwamua na 
kuupeleka level tunayoiota kila siku. Kuufanya
 mziki wetu utambulike kimataifa Na utangaze nchi yetu.
kikao hicho pia kilihudhuriwa na naibu,waziri wa Elim,Philp 
Mulugo na mkuu wa mkoa Lindi 
Mida ya chakula,waziri Mulugo akinieleza jambo
Mheshimiwa Membe




Tukiteta jambo na Ndugu yangu,Romy Jons
Huniambii kitu kuhusu matunda
Mheshimiwa MEmbe akizungumza
Nikimsikilkiza mkuu wa mkoa Lindi


Mkuu wa mkoa wa Lindi akizungumza
Mazungumzo yakiendelea








Nikisisitiza jambo kuhusu mziki wetu






Waziri Mulugo akizungumza
Baaada ya kikao niukizungumza jambo na Waziri 

Membe,alinipatia ushauri mzuri sana kuhusu maendeleo ya mziki wangu

Comments

Popular posts from this blog