PICHA ZA SHOW YOTE YA DIAMOND NA ZARI WALIVYOFUNIKA UGANDA JANA






Mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari' au 'The Boss Lady' akiwekwa sawa kabla ya shoo yake ya All White Ciroc party iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Guvnor nchini Uganda.

Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' (kulia) akiwa na Zari au 'The Boss Lady' kabla ya kuelekea katika shoo.

The Boss Lady akiwa katika pozi.

Diamond Platnumz na The Boss Lady wakitoka hotelini.
... Wakipanda gari.

Umati wa watu waliojitokeza katika shoo ya AllWhite Cirocparty usiku wa kuamkia leo.





















 

Comments

Popular posts from this blog