RAIS JAKAYA KIKWETE ALIVYOKUTANA NA WATANZANIA CANADA


Rais Dkt Jakaya Kikwete akiongea na viongozi wa Jumiya za Kitanzania zilizopo Toronto, Canada siku ya Ijumaa May 30, 2014. Rais Dkt Jakaya Kikwete alikuwa Canada wiki iliyopita kuhudhuria kikao cha “Improving the Lives of Women and Children: Maternal, Newborn and Child Health “ Viongozi wa ZANCANA walipata fulsa ya kumweleza Mheshimiwa Rais Jumuiya yao inavyojitahidi kusaidia nyumbani Tanzania katika sekta mbalimbali hususan ikijikita kwenye elimu na mahospatalini kwa kupeleka misaada mbalimbali mashuleni na kwenye Wizara ya Afya na ustawi wa jamii.


Viongozi wa Jumuiya mbalimbali za Watanzania Toronto, Canada wakimsikiliza Rais Dkt. Jakaya Kikwete alipokuwa akiongea nao siku ya Ijumaa May 30, 2014.,


Makamu wa Rais wa ZANCANA Jamal Jiddawy katika picha yaa pamoja na Rais Dkt. Jakaya Kikwete


Executive Manger Bishara na Boardmember Zamil ZANCANA wakiwa kwenye picha ya pamoja na Rais Dkt Jakaya Kikwete
Kwa hisani ya Vijimambo Blog

Comments

Popular posts from this blog