MWANAMUZIKI SHAA AWEKA PICHA ZA UTUPU INSTAGRAM

Nashindwa kufahamu kama ni ulimbukeni au ni kulewa ustaa ama kitu gani kingine, hebu fikiria katika hali hii ambayo imetokea kwa staa wa muziki nchini Tanzania Sarah Kais maarufu kama Shaa baada ya kupiga picha za utupu katika mtandao wa kijamii wa Instagram, ziko hapa.
Kama unam-follow kwenye instagram @Shaa_tz basi utakuwa umesha like au kuona jinsi comment na like nyingi zinazopata picha hizi

Comments

Popular posts from this blog