YANAYOENDELEA MUDA HUU KATIKA VIWANJA VYA LEADERS KWAAJILI YA WATANZANIA KUTOA HESHIMA YA MWISHO KWA DADA YETU RACHEL HAULE

 Mchungaji akiendesha Sala kwaajili ya Marehemu Rachel Haule ambaye alipoteza maisha Jumatatu ya Wiki Hii kwa Uzazi
 Sehemu lilipo Jeneza lenye Mwili wa Mpendwa Wetu Rachel Haule 
 Baadhi ya waombolezaji waliofika katika viwanja vya leaders kwaajili ya kutoa heshima za mwisho kabla Mwili wa Marehemu Rachel haujapelekwa kupumzishwa katika Nyumba yake ya Milele
MChungaji akiendelea kutoa Neno katika Msiba wa Msanii Rachel Haule aliyefariki Jumatatu, Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuagwa muda si mrefu katika viwanja hivi vya leaders na hatimaye kwenda kupumzishwa kwa amani katika Makaburi ya Kinondoni.Picha zote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog.

Picha Zaidi zitakujia Baadae

Comments

Popular posts from this blog