Vilio vyatawala nyumbani kwa marehemu Recho Haule baada ya mwili huo pamoja na wa mwanaye kuletwa toka Muhimbili



Mwili wa marehemu Recho aliyekuwa msanii wa bongo muvi na mwili wa mtoto wake umetolewa katika hospitali ya taifa muhimbili na kupelekwa nyumbani kwao maeneo  ya  Palestina jijini Dar, na baadaye viwanja vya leaders club kwa ajili ya kuagwa



Simanzi  na  vilio  vilitawala nyumbani kwa marehemu  wakati  mwili  huo  ukiagwa  na  ndugu wa karibu kwa dakika chache kabla  ya  kwenda viwanja vya leaders
 
 

Comments

Popular posts from this blog