BAADA YA KIMNYA CHA MDA MREFU ..IRENE UWOYA ATUPIA PICHA ZA UTATA MTANDAONI

Gal on fire she is back again staa irene uwoya, she was quite for a while, lakini ujio wake mpya alokuja nao umekuwa wa kishindo n people were so suprised, kiukweli to staaz kuvaa taulo na kupiga picha akivaa taulo na kutupia kwenye mitandao ya kijamii ni jambo la kawaida sana, leo mtandao wa makubwa haya tumezinyaka picha hizi kwenye mitandao ya jamii, na funs wakawa wanacoment, kuna wengine walicoment kawaida wengine waliponda, but all in all kwa mastaa kama irene uwoya kuvaa taulo hauni kama ni ki2 cha ajabu coz everybody do so. Alisikika akimalizia kisema hvyo kwa funs wake.

Comments

Popular posts from this blog