ANGALIA PICHA ZA AJALI MBAYA ZILIZOTOKEA ASUBUHI YA LEO

Toyota Coaster T 916 BQE  ikiwa imetumbukia mtaroni maeneo ya Sinza Mapambano.
Ikionekana kwa nyuma ilipokuwa ikivutwa baada ya kutumbukia mtaloni maeneo ya Sinza Mapambano.
Gari nyingine aina ya Toyota Coaster T 561 CJA  iliyoacha njia na kuingia mtaloni katika Barabara ya Mandela.
Ikionekana kwa nyuma mara baada ya kutumbukia mtaloni kwenye Barabara ya Mandela.
Gari ndogo aina ya Toyota Corolla iliyoharibiwa vibaya baada ya kugongwa na Coaster.
Wasamaria wema wakisaidia kulitoa gari, Toyota Corolla barabarani.
Gari moja lililokuwa likivutwa na ‘Breakdown’ mara baada ya kuharibika njiani. Haikufahamu gari hilo liliharibikia maeneo gani.
Ajalli mbaya zimetokea asubuhi hii maeneo ya Sinza Mapambano na baada ya gari kubwa (coaster) kuigonga gar ndogo (teksi) na kuingia mtaoni. Hakukuwa na watu walioumia vibaya.
Ajali nyingine imetokea katika Barabara ya Mandela ambapo coaster moja imeacha njia na kutumbukia mtaroni. Hakukuwa na abiria zaidi ya dereva peke yake ambaye hakuumia sana.
STORI NA PICHA: NYEMO CHILONGANI NA ANDREW CARLOS/GPL

Comments

Popular posts from this blog