ANGALIA MAAJABU YA MUNGU MWILI MMOJA VICHWA VIWILI.

Mapacha hawa wanaitwa Abby na Brittany wamezaliwa mwaka 7/3/1990 nchini MAREKANI. 
Mapacha hawa wameungana mwili na kuwa mwili mmoja wenye vichwa viwili, lakina chakushangaza zaidi kila mmoja anamfumo wake wa kupumua na moyo wake na maini yake,
Vitu wanavyo changia ni mwili mmoja ikiwemo miguu miwili na mikono miwili.


Comments

Popular posts from this blog