Skip to main content

MWENYEKITI WA CHADEMA TEMEKE ALIYEPIGWA NA KUUMIZWA USIKU WA KUAMKIA LEO AHAMISHIWA MUHIMBILI KWA MATIBABU ZAID



 MWENYEKITI WA CHADEMA WILAYA YA TEMEKE JOSEPH YONA AHAMISHIWA MOI

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Temeke na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Joseph Yona (33), aliyepigwa na watu wasiojulikana kisha kutupwa kwenye eneo la Ununio Kawe jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo, ametolewa wodini katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na kuhamishiwa katika Kitengo cha Mifupa Muhimbili.



ShareThis Copy and Paste

Comments

Popular posts from this blog