ASKARI 96 WA TANAPA WAMALIZA MAFUNZO YA AWALI WAAHIDI KUPAMBANA NA MAJANGIRI‏

Mkurugenzi 
 mkuu wa TANAPA Allan kijazi akiwahutubia wahitimu wa mafunzo ya  
kuhifadhi maliasili katika chuo cha wanyama pori cha Mlele mkoani katavi 
 
ambao hawapo pichani hapo juzi katika chuo cha wanyama pori cha mlele  
 
ambapo wahitimu 96 walihitimu mafunzo ya awali ya wahifadhi wa  
 
rasilimali za nchi na aliwataka wafanye kazi kwa uadilifu mkubwa ili  
 
waweze kupambana na kutokomeza ujangiri na kuvunja mitandao ya majangiri 
 
ya ndani ya nchi na nje ya nchi.
 Askari 
 wa hifadhi ya  mbuga ya wanyama (TANAPA)  wakiwa wamesimama
 akifunga mafunzo ya askari hao waliohitimu mafunzo ya miezi 3 katika  
 
 Askari wa hifadhi ya  mbuga ya wanyama 
 (TANAPA) wakiwa wamekaa wakimsikiliza mkurugenzi mkuu wa TANAPA ALLAN  
 
KIJAZI ambaye hayuko pichani wakati akifunga mafunzo ya askari hao  
 
waliohitimu mafunzo ya miezi 3 katika chuo wanyama pori cha Mlele mkoa  
 
wa katavi namna ya kulinda rasilimali za nchi ambapo amewataka wahitimu  
 
hao wafanye kazi kwa uaminifu. 
 
 Picha na Katavi yetu Blog

*********************
Na   Walter Mguluchuma wa Katavi yetu Blog. Mpanda Katavi


 Jumla ya  
 Askari 96 wa  Shirika  la Hifadhi la Taifa  la Wanyama Pori (TANAPA) wametimu    mafunzo  
 
ya miezi   mitatu  katika  
 
chuo     kipya   cha wanyama  
 
pori   cha Mlele  kilichopo   
 
Mkoa  wa Katavi  na kutoa  
 
kiapo cha utii  mbele ya Mkurugenzi 
 
mkuu  wa TANAPA Allan Kijazi


Askari hao  wa TANAPA walimaliza  mafunzo  
 hayo  hapo juzi  kwenye chuo 
hicho   cha  wanyama Pori  
 cha Mlele  akiwa ni  mafunzo ya 
 
kwanza  hapa  nchini 
 
kwa TANAPA  kutoa  mafunzo kama hayo kwa Askari wa wanyama pori 
 
kupatiwa mafunzo hayo  kabla ya 
 
kuanza  kazi 
 
Katika  Risala yao ya 
 kulinda maliasili  iliyosomwa  na Bruno  
 


Waliyataja baadhi 
 ya mafunzo waliyoyapata kuwa ni namna ya kufanya doria , kukamata  waharifu  
 
kumpekua  mharifu  na kutotumia  
 
nguvu  sana  katika kukamata  mharifu    
 
pamoja  na  pia wamejifundisha namna ya kutumia silaha


Walieleza  katika kipindi hicho cha  mafunzo  
  wahitimi   hao walifanikiwa kukamata  waharifu  
 
hamsini  wakati  wakifanya  
 
doria  katika maeneo mbambali ya 
 
Mbuga ya  Katavi  na kwenye mapori ya akiba ya Rukwa  Lwafi


Wahitimu hao 
 walieleza kuwa  mafunzo hayo 
 
yaliwashirikisha  Askari  99 
lakini  watatu kati yao 
 wameshindwa  kuhitimu  zikiwemo 
sababu  mbambali  kama  
 utoro na utovu  wa nidhamu   hari ambayo ilfanya wahitimu  waliomaliza kubaki  96 ambapo kati yao mwanamke  ni mmoja 
na wanaume ni  95


Kwa upande wake 
 mkuu wamapori ya akiba  ya  Rukwa Lwafi 
 changamoto hizo kuwa ni ukosefu wa mawasiliano  
 
mafunzo kwa wanawake na ufinyu  wa bajeti


Nae  Mkurugenzi  wa Hifadhi  
 na Ikolojia  Martini  Loibook  alieleza kuwa mafunzo hayo walioyapata 
 
yanaumuhimu  sana  hasa kutokana na changamoto  zinazoikabili nchi  yetu  
 
inayokabiliwa na wimbi la ujangili


Pia Mkurugenzi 
 wa  utumishi   na utawalla   
 
wa TANAPA  Witnes Shoo  aliwataka wahitimu hao  kufanya kazi  
 
kwa uaminifu  kwa kujituma  na 
wawe na didamu  na  wasiwe na tabia ya kutow a siri za ofisi


Mkurugenzi 
 Mkuu   wa TANAPA  Allan Kijazi  
 
aliwaasa wahitimu hao  wahakikishe 
wanafanya kazi  zao kwa uaminifu 
 
mkubwa  hasa  katika shughuli zao  katika kupambana kukomesha ujangili 
 
Aliwataka 
 kutojihusisha  na masuala ya ujangiri na 
badal awahakikishe wanafanya kazi za kupambana na mitandao ya ujangiri iliyopo 
ndani ya nchi na nje ya nchi 
 
Alisema wapo 
 baadhi ya watumishi wa TANAPA ambao wamekuwa sio waaminifu hivyo wahitimu hao
wahakikishe wanafanya kazi zao kwa uaminifu pasipo kueubuniwa na mtu yoyote 
 yule au watu

Comments

Popular posts from this blog