MSANII WA MZIKI WA BONGO FLEVA REMMY WILLIAMS ATUA NCHINI


MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Williams
MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Will akiwasili nchini akitokea Italy
MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Will  (kushoto ) akiwasili nchini akitokea Italy kulia ni meneja wake nchini Italy Wactor Fizio walipowasili nchini Tanzania

MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Williams
MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Williams katikati akilakiwa na baadhi ya warembo waliojitokeza kumpokea msanii huyo

MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Williams akiwa ameshikwa mkono na meneja wake wa Tanzania Mcdennis Mgatha
Na Mwandishi Wetu
MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Williams anaefanya shughuli za mziki nchini Ital ameingia nchini jana na kutua jijni Dar es salaam kwa ajili ya kufanya kazi na wasanii wenzake nchini

Akizungumzia ujio wake mara baada ya kutua uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu julius nyerere Dar es salaam  anasema kuwa nawapenda wasanii wote wa Tanzania wanavyofanya vema nchini na kazi zao nyingi zinavuka mipaka kwa  ajili ya kujitangaza kimataifa ata hivyo yeye amejitokeza kuupaisha mziki huo kwa kushirikiana na wasanii atakaochaguliwa kushirikiana nae Bakizungumzia ujio wa msanii huyo meneja wake nchini Mcdennis Mgatha amesema msanii huyo kaja nchini kwa ajili ya  kufanya colab na wasanii hapa nchini hivyo wapenzi wa mziki wakae mkao wa kula kwani ana vitu vingi sana alivyo waandalia ikiwemo nyimbo mpya pamoja na kufanya shoo kwa ajili ya kutambulisha  nyimbo hizo 

Comments

Popular posts from this blog