MH. EDWARD LOWASA KUONGOZA TAMASHA LA BODA BODA DAY JIJINI DAR ES SALAAM

Tamasha la Bodaboda(Boda boda Day) linatarajia kufanyika Jumamosi hii katika viwanja vya Leaders,Kinondoni. Mgeni Rasmi atakuwa Mh.Edward Lowasa,ambapo kuanzia saa moja asubuhi wale madereva wa Wilaya ya Temeke wataanzia uwanja wa Taifa,Ilala wataanzia nyuma ya TBC,Tazara,Kinondoni wataanzia katika viwanja vya biafra,maandamano yataelekea katika viwanja vya Leaders ambapo yatapokelewa na mgeni Rasmi mh.Lowasa.


Maandamano yataongozwa na askari wa uasalama barabarani na ukifika utakabidhiwa t-sheti yako.
Lengo la tamasha hilo ni kuzindua saccos ya bodaboda na chama cha waendesha bodaboda Jijini Dar,na kujiunga na mfuko wa bima ya afya.
Wasanii mbalimbali watakuwepo kwa ajili ya kutoa burudani ambao ni Linex,Amin,Barnaba,Makomandoo,Walter,Aslay na N

Comments

Popular posts from this blog