ALICHOSEMA MISS TANZANIA 2012 BAADA YA KUAMBIWA ETI HAJUI KUONGEA KISWAHILI

ALICHOSEMA MISS TANZANIA 2012 BAADA YA KUAMBIWA ETI HAJUI KUONGEA KISWAHILIMiss Tanzania 2012 -2013 “Brigitte Alfred alijaribu kujitetea baada ya kulalamikiwa na mbunge Bi. Rukia kwa madai eti hafai kutuwakilisha Watanzania kisa Miss huyo kuongea kiswahili hawezi.
Maneno hayo hayakumfurahisha Miss Brigitte Alfred na kuamua kwenda kwenye mtandao wake wa Instagram na kusema 


“Meanwhile as our county suffers from 3rd world problems this is what is being discussed bungeni 
Brigitte
-babukubwa 

Comments

Popular posts from this blog