PICHA ZA WASANII WA NDANI(BONGO) WALIVYOKAMUA SAMBAMBA NA P-SQUARE "WEUSI WAKIFANYA YAO STEJINI"

Joh Makini akilitawala jukwaa.
Nikki wa Pili (kushoto) na G Nako wakifanya yao…
Joh Makini akilitawala jukwaa.
Nikki wa Pili (kushoto) na G Nako wakifanya yao stejini.
Kundi la Weusi likiongozwa na Joh Makini likishambulia jukwaa la Leaders Club kabla P-Square hawajapanda usiku huu.

PROFESA JAY AWADATISHA MASHABIKI NDANI YA LEADERS CLUB

LADY JAYDEE AKIFANYA YAKE STEJINI

Mwanamuziki Judith Wambura 'Lady Jaydee' au 'Anaconda' akiwapagawisha mashabiki wake waliohudhuria katika Viwanja vya Leaders Club usiku huu katika shoo wa wakali P-Square.… 
MC Dullah akiwa kazini.
Ma MC wakiwajibikia stejini.
Mwanamuziki Ben Pol akiwasha moto katika steji ndani ya Viwanja vya Leaders usiku huu katika shoo ya P-Square Live in Dar.…
SOURCE: GPL

Comments

Popular posts from this blog