ANGALIA PICHA P-SQUARE WALIVYOTUA UWANJA WA NDEGE WA MWALIMU NYERERE


PWale wakuitwa mapacha wawili P-SQUARE usiku huu wameshatinga ndani ya jiji la Dar es Salaam kwa kishindo

#hadiRAHA sasa hiyo kesho Jumamosi pale viwanja vya Leaders Club ndio patachimbika. Wasanii kutoka bongo watakaosindikiza show hii ni pamoja na Prof Jay, Lady Jay Dee, Joh Makini na Ben Pol.

Comments

Popular posts from this blog