Mwizi wa kuku avuliwa nguo baada ya kukamatwa ….Wananchi wamfungia ndani ya tenga ili wamchome moto

mwizi wa kuku
Huyu ni mkenya aliyekuwa ameiba kuku.Wananchi walipomnasa walimpa kichapo kikali na kisha kumfungia ndani ya tenga la kuku kwa ajili ya kumchoma moto….

Wangali katika maandalizi ya kutafuta petrol, polisi waliwasili eneo la tukio na kumuokoa kwa kumpeleka kituoni

Comments

Popular posts from this blog