GARI YA BILIONEA ANAYEMILIKI MANCHESTER CITY YAONEKANA DAR, ANAIMILIKI YUSSUF BAKHRESA

Gari aina ya Brabus ambayo inayomilikiwa na mmiliki wa klabu ya Manchester City ya England, imeonekana leo Dar es Salaam, lakini ni mali ya Yussuf Bakhresa, mtoto wa bilionea Mtanzania, Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa. Vyanzo vimesema Yussuf alitoa oda maalum kutengenezewa gari hili na thamani yake jumla si chini ya dola za Kimarekani 500,000.



Hii hapa mali ya Yussuf Bakhresa



Huyu jamaa ndiye anayeendesha gari la hili la mtoto wa Bakhresa



Angalia alivyotulia ndani ya mzigo wa dola 500,000



Ni oda maalum kwa ajili ya Yussuf Bakhresa



Bin Zubeiry aliionja kidogo



Mwingine mwenye gari kama hii Dar es Salaam nani?



Kutoka Manchester hadi Dar es Salaam-BIN ZUBEIRY

Comments

Popular posts from this blog