ADAM MCHOMVU "(mtangazaji)awakwaza watu kwa kuweka picha yake mtandaoni akitiririsha KAMASI"



Kupitia Account yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram Mtangazaji wa Clouds Fm Adam amepost picha hii .Ni picha ambayo imezua gumzo sana miongoni mwa mashabiki wake...

Wapo wanaohoji UTIMAMU wa akili yake kwa kuweka picha kama hiyo huku wengine wakidai ni bangi zinamsumbua.....

Yafuatayo ni baadhi ya maoni ya mashabiki wake:

Comments

Popular posts from this blog