WEZI WA MTANDAO WAKAMATWA OFISI YA TIGO BUGURUNI


tigo 8634f
Mrembo huyu ni mmoja wa watuhumiwa wa kesi hii ya wizi wa mtandao baada ya kutumia kitambulisho chake na kutaka kuja kurudisha line ambayo sio yake kwa kuahidiwa kupewa pesa kidogo kama ujira wake na katika melezo yake akasema hawatambui wahusika wenzake kwani amekutana nao tu sinza na wakampa dili hilo na kuamua kuchukua bajaji ambao iliwaleta mpaka ofisi za tigo buguruni rozana.(HM)
tigo2 25162
Watuhumiwa wenzake wakificha sura zao huku wakitoa maelezo kwa wafanyakazi wa tigo na walinzi waliowatia chini ya ulinzi baaada ya kuweka mtego mzuri wa kuyanasa mataperli haya ya kimtandao
tigo3 89509
Mmoja ya wafanyakazi mahiri wa tigo Bw Octavian Rweyendera ambaye alifanikisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao akitoa maelezo kwa baadhi ya maafande wa polisi jinsi watuhumiwa walivyotaka kufanya wizi huo wa kimtandao.
Chanzo: fullshangwe

Comments

Popular posts from this blog