HALI NI MBAYA PICHA ZA NUSU UCHI BLOGER ZASAMBAA

 
Ama kwa hakika wadau nahisi bado hali si swari kwa taifa letu haswa kwa hii hali inayoendelea kuteka akili za wasichana kwa wavulana kwa kujipiga picha za utupu ambazo baadae huwa ni aibu na fedheha kwa familia zao huku wao wakiwa hawana jipya zaidi ya heshima zao kushuka

Kusema kweli haya mambo kwetu bado ni mageni tofauti na mataifa mengine ambapo hicho ni kitu cha kawaida na mtu hulipwa pesa nyingi sana kupiga picha za namna hiyo.
 Mwanadada aliyewahi kutengeneza kichwa cha habari gazetini akidai kubakwa na mbunge wa CHADEMA mheshimiwa Godbless Lema ambaye ni blogger pia Flora Lyimo a.k.a Mbuta Nanga ametengeneza kichwa cha  habari kwa mara nyingine tena baada ya kujipiga picha za uchi na kutupia kwenye blog yake.
Mara baada ya kutumia picha hizi mwadada huyu alijisifu na kujigamba kuwa yeye ni African qeen na anajiamini!.
Kwa upande mwingine anaweza kuwa sawa kwa imani yake ila kwa maadili ya nchii hii nadhani sio sahihi kupiga picha kama hizo thesuperstarstz imehangaika toka asubuhi kumsaka dada yetu huyo bila mafanikio ila bado tunaendelea kumsaka ili kujua kulikoni na mara tutakapompata kama mwana bloger mwenzetu tutaongea nae ili kujua zaidi

ANGALIA PICHA ZAIDI HAPA CHINI

Haya mdau mambo ya dada zetu hayo

Comments

Popular posts from this blog