BREAKING NEWS: NDEGE ZAGONGANA ZANZIBAR.





Ndege ya Oman air na Ethipian airlines leo jioni zimegongana katika kiwanja cha ndege cha Zanzibar wakati zikijitaarisha kuruka, ila ajali hii haikuwa kubwa, wakati hayo yakiendelea abiria wa Ehiopian airline wameshushwa na kuweka sehemu ya mapumziko.

Nawatakia kila la kheri wasafiri wote na inshaalah Mwenyezi 

Mungu atawapa wepesi wa katika safari zao.


Ndege ya kulia ni ya Ethiopian airlines mayo ndiyo imeivaa Oman air hadi bawa kutoka

source http://www.jestina-george.com

Comments

Popular posts from this blog