BUNGE KUANZA VIKAO VYAKE JUMANNE DODOMA


Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa tanzania linataraji kuanza vikao vyake kwa wiki mbili mjini Dodoma.Wabunge wamehitimisha vikao vya kamati za bunge leo ikiwa ni utekezaji wa shuguli mbalimbali za Bunge ikishiria kuanza kwa vikao vyake jumanne ijayo mjini Dodoma, Ambapo miswada mbalimbali itawasilishwa katika vikao hivyo
Picture

Picture
Picture
 

Comments

Popular posts from this blog