MTOTO WA MIEZI MINNE ATUPWA AKIWA HAI MAENEO YA BAMAGA

 


Huyu ndiye malaika wa Mungu aliyetelekezwa maeneo ya bamaga nje ya chuo cha ustawi wa jamii karibu na TBC hapa akiwa amebebwa na mmoja wa mfanyakazi wa ITV baada ya wasamaria wema kumleta ITV...


Anayeonekana kwa nyuma ni mmoja wa vijana waliomuokota mtoto huyo

 Baadhi ya wafanyakazi wa ITV wakimshangaa mtoto aliyetupwa.
mchomeblog

Comments

Popular posts from this blog