Skip to main content

MENEJA KAMPENI WA MWENYEKITI WA CHADEMA-MBOWE AHAMIA CCM





Mchungaji Simboni, aliyekuwa Meneja wa Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai, Mh. Mbowe na Katibu wa Chadema Wilaya ya Hai akirudisha kadi yake ya Chadema jana kwa Mwenyekiti wa Wazazi/CCM Taifa Mh. Bulembo jana kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Kaway, Longilo Wilaya ya Hai. Mchungaji Simbon alitangaza rasmi kurejea CCM, alipokuwa zamani.

CHANZO:Jamiiforum/jukwaa la siasa 

Comments

Popular posts from this blog